BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
..wakati mwingine wenye matatizo ni waandishi wetu wa habari. hapa palihitajika pawe na follow up questions.
..labda angeulizwa atamsaidia in what capacity and level.
..pia angeulizwa kama atamuunga mkono na kumsaidia mgombea atakayesimamishwa na Chadema Kigoma Kusini.
NB:
..Mkapa alipowaponda hawa ndugu zetu hakuwa amekosea sana.
Naungana nawe. Wakati mwingine Waandishi wetu wa habari wanachangia mno katika kuleta mifarakano ndani ya vyama katika jitihada zao za kuuza magazeti.
Huyu amesema 'Zito Amvaa Slaa' unategemea kabisa kuwa watu hawa wawili wamekutana ofisini na kutupiana maneno lakini unasoma mpaka mwisho wa habari unaona ni mawazo ya muandishi tu ya kile anachoona yeye ni Zito kumvaa Slaa. Muandishi wa namna hii anapokutana na Mwanasiasa ambaye hachungi kauli zake lazima kutokee kutokuelewana ambako pia huchochewa moto zaidi na hao hao waandishi!