Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Nakumbuka kabisa alifanya usaliti mkubwa sana kukivuruga CHADEMA kikiwa na nguvu kubwa kiasi Cha kutaka kukamata dola. Akawa anakula rushwa na kuvuruga chama Kwa kufanya uzandiki.
Leo hii anatumika kuhujumu Watanzania wasipate katiba mpya kisa tu ACT Wazalendo ni vibaraka wa CCM na yeye anajipigia pesa kupitia migongo ya wapemba.
Anataka Chadema iwe branded kama chama cha kigaidi kama ilivyo Islamic brotherhood ya Misri. Hii yote ili ACT ipate nguvu. Hata avue nguo hadharani ACT haiwezi kupata kick hapa Tanzania.
Leo hii anatumika kuhujumu Watanzania wasipate katiba mpya kisa tu ACT Wazalendo ni vibaraka wa CCM na yeye anajipigia pesa kupitia migongo ya wapemba.
Anataka Chadema iwe branded kama chama cha kigaidi kama ilivyo Islamic brotherhood ya Misri. Hii yote ili ACT ipate nguvu. Hata avue nguo hadharani ACT haiwezi kupata kick hapa Tanzania.