Zitto amsifu Ngeleja amshauri ahame CCM

Zitto amsifu Ngeleja amshauri ahame CCM

Okay, Rwabugiri,

Sasa kama inawezekana Kikwete anamshambulia Ngeleja hadharani kwa sababu Ngeleja hataki kufuja hela za walalahoi ni kwa nini huwa Ngeleje anaitikia "ndio mzee" ?
Kama anapogombezwa gombezwa hadharani ni kwa vile anachukia ufisadi ni kwa nini then ana turn around kwenda kutekeleza maagizo ya kifisadi ya Rais ?

Kuhani huwezi kuukata mkono unao kulisha, na pia si busara kufokeana/kujibizana na bosi wako mbele ya kadamnasi, na pengine waweza funika kombe mwana haramu apite, ndiyo maana, narudia tena ndo maana Mh. Zitto kwa kuliona hilo akatoa angalizo na wito kwa Ngeleja kwamba atoke huko ( chama cha wabaka raslimali za Taifa) ajiunge na chama makini ili UMAKINI wake usikwazike alitumikie Taifa lake kwa nguvu zake zote na kwa uadilifu kulingana na kiapo chake!
 
Kuhani huwezi kuukata mkono unao kulisha, na pia si busara kufokeana/kujibizana na bosi wako mbele ya kadamnasi, na pengine waweza funika kombe mwana haramu apite, ndiyo maana, narudia tena ndo maana Mh. Zitto kwa kuliona hilo akatoa angalizo na wito kwa Ngeleja kwamba atoke huko ( chama cha wabaka raslimali za Taifa) ajiunge na chama makini ili UMAKINI wake usikwazike alitumikie Taifa lake kwa nguvu zake zote na kwa uadilifu kulingana na kiapo chake!

Rwabs,

Hapo Kuhani atakuimbia kibwagizo cha "Fugees"

You and I don't see eye to eye, so therefore we can't relate"

Mwenzako anaamini katika strict principles, unafanya kazi katika serikali only if unaamini katika utendaji wake, strictly collective responsibility. Kama unaona wanakuyeyusha unaanza mbele.Kitendo cha kubaki katika serikali ya Kikwete maana yake unakubaliana nayo.Hakuna ngeleja na Kikwete, wote ni ombudsmen wa serikali moja.

Wewe unaamini inawezekana mtu competent akaifanyia kazi administration mbovu na kutaka kuleta mabadiliko kutoka ndani.

Two very different approaches, one extreme, one centrist.
 
Kwa maoni yangu hakuna lolote alilofanya huyu Ngeleja linalostahili apewe sifa. Hajafanya lolote kuhakikisha mikataba ya uchimbaji wa madini inaangaliwa upya ili kuibadilisha na kuifanya Tanzania iwe na maslahi katika mikataba hiyo. Hajatangaza rasmi kusimamishwa kusaini mikataba mipya ya madini ili kuhakikisha mikataba ya siku za usoni inakuwa na maslahi kwa nchi yetu pamoja na kuombwa na Wabunge kufanya hivyo. Hajatwambia lolote kuhusiana na jinsi fisadi Mkapa alivyojimilikisha mgodi wa Kiwira na pia kuhakikisha mgodi huo unarudi katika miliki ya Watanzania. Kwa hiyo naona Wizara hiyo imemzidi kimo na mpaka sasa hafafanya lolote lile linalostahili kupongezwa.
 
Kuhani huwezi kuukata mkono unao kulisha...

Okay, kwa hiyo Ngeleja sio fisadi lakini anatekeleza maagizo ya mafisadi ya kugombezwagombezwa ili aendelee kula?

Huyo nae fisadi basi.

How can you possibly say that this man is a clean leader who abhors corruption but the reason he obeys the orders of his corrupt bosses is he needs to eat too! How can you possibly say that ? That is the most flabbergasting thing I have ever heard.

Unawezaje, Rwabugiri, unawezaje kutetea kwamba inawezekana Ngeleja ni muadilifu halafu hapo hapo unasema na yeye inabidi ale? Mentality ya kifisadi hiyo!!! Na wewe Rwabugiri utakuwa ni fisadi!!!

...na pia si busara kufokeana/kujibizana na bosi wako mbele ya kadamnasi, na pengine waweza funika kombe mwana haramu apite,

Sasa kwa nini anaenda kutekeleza na kupewa sifa kwa hayo hayo anayoyafunikia kikombe hadharani?
 
Covey anase ma "Where you stand depends on where you sit" sasa Zito anasimama sehemu mbili tofauti akitokea kukaa kwenye kiti kimoja akianguka atamlaumu nani?
 
Hivi Zitto ni Waziri?
MAMA, Ungesoma post yangu kati kati ya mstari ungegundua kuwa niliandika kimakosa jina Zitto badala ya Ngeleja wakati nilipofananisha utendaji kazi wa ngeleja na karamagi.

Pamoja na kosa hilo... wewe hoja yako ni nini?
 
nchi ambayo hatujui source yetu ya umeme kesho, keshokutwa na baada ya hapo itakuwaje, ni nchi ya ajabu, na nchi ambayo inashindwa na wafanya biashara katika kupanga bei ya mafuta, ni ya ajabu kweli, nchi inayo sema ina rekebisha mikataba ya madini, halafu haifanyi hivyo ni ya ajabu saaana, nchi inayo waacha watu wake katika ufukura uliotukuka, wakati wageni wanajichotoe, kama wanavyo taka ni ya ajabu kwelikweli, wakati wana mawaziri na wabinge vijana, kwa wazee, experienced na non experienced, wasomi na na waliofuta ujinga ni ya ajabu saana, at the end ndio tanzania Yetu ambayo ipo in the right track katika kufikia malengo yake ya kuingia karne ya 21 kwa makeke na vigelegele
 
Back
Top Bottom