Zitto anasema uhuru anaopata kwa sasa unatosha

Zitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
ukifika uchaguzi atabadilika tu huyo mrundi
 
Zitto ni mmojawapo wa watu wanaochangia pakubwa kukwamisha maendeleo endelevu ya demokrasia. Amekuwa sio mwanasiasa anayetazama mbali linapokuja suala la upatikanaji wa madaraka.
 
Naam!

Mama asikubali kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa kama kwamba akuwepo awamu iliyopita.

Afanye maamuzi kama kiongozi wa nchi kwa manufaa ya wananchi sio wanasiasa wachumia tumbo mwisho wa siku hao watamgeuka tu.
 
Hta mimi kwaleo uhuru huu umenitosha. Maana tulibanwa mbavu ajabu. Unajua njaa ikikushika kikamilifu, ukapewa ugali na kisamvu kisichoungwa kitakutosha na wala hutakuwa na muda wa kuuliza wali na nyama au Pilau. Hayo tutajuana kesho lakini kwa leo inatosha.

Mama mi 5 tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…