Zitto Arejea Ujerumani kwa PhD

Zitto Arejea Ujerumani kwa PhD

Tumuombee kwa RABUKA hiyo elimu anayoitafuta ije imsaidie asijichanganye kama walivyomchanganya mafisadi wa DOWANS!
 
Huyu jamaa kweli nae ana msimamo wa kueleweka, na ina maana sasa siasa basi au?

Ni nini hasa anachohitaji zaidi au ndio ku-please umma ya kuwa Zitto has a Phd. He has already established himself as a young innovative politician why throw that away now.

You got the basics of the economy, Your a politician now not an ecnomists. Offer thoughts to ecnomists and argue with them. Let them advise you with the basics of economy make your mind if you intend to remain in politics.

Unajua this is why africans suffer Phd, Phd, Phd so what they get it wrong all the time this economists. If he wanted to become a better politician I think Law would have been the skill he needed to become a better speaker and politicians rather than a Phd on something he already has a concept of hit.

Learn to be a better politician than concentrate on pleasing the public with unnecesary credentials. Use examples of useless scholars we have in the government who are not performing. If anything its because they are in the wrong employment.

Juma Contena, do you mean economists sio politicians wazuri? I think Zitto's combination of law and economics will make him a great politician. All the best for your studies Zitto
 
Ah kweli nimeamini kuwa sisi Watanzania ni WATU WA HOVYO HOVYO,Zitto kaleta hoja murua yenye tafakuri nzito ,mijitu inajitokeza na kusema eti UTUMBO,mi nampongeza Zitto kuwa mwalimu mzuri na kiongozi bora wa kupigiwa upatu,nafikiri Ngereja na kinara wake watakuwa wamepata somo la kutosha toka kwa Kabwe,huhitaji kusomea sheria kujua nini mwanasheria Ngereja anashindwa kutolea maamuzi kuhusu IPTL na Dowans
 
Ah kweli nimeamini kuwa sisi Watanzania ni WATU WA HOVYO HOVYO,Zitto kaleta hoja murua yenye tafakuri nzito ,mijitu inajitokeza na kusema eti UTUMBO,mi nampongeza Zitto kuwa mwalimu mzuri na kiongozi bora wa kupigiwa upatu,nafikiri Ngereja na kinara wake watakuwa wamepata somo la kutosha toka kwa Kabwe,huhitaji kusomea sheria kujua nini mwanasheria Ngereja anashindwa kutolea maamuzi kuhusu IPTL na Dowans

TATIzo ni chuki kwani baada ya Zitto kumkabili mchaga Mbowe ndio vibaraka wote wamejenga chuki mbaya kwa Zitto.leo wanahoji kama ana digrii.kwanini wasiulize kama Mbowe ana digrii? au Mpaka Kieleweke ambaye haijulikani kama ana digrii.
huyu ndio kibaraka wa Mbowe anafikiri atakuwa mbunge wa ubungo.hata Mchukia ufisadi aliyejiunga Chadema juzi tu anasema kuwa Zitto anashauriwa na vijana wa CCM yAANI NI CHUKI BINAFSI DHIDI YA ZITTO.NYOTA YA ZITTO ITAZIDI KUWAKA HATA WACHUKIE.ZITTO PIGA MASOMO MBOWE YAMEMSHINDA.BY THE WAY UNACHOCHUKUA NI ZIADA WAKATI MBOWE HATA BASIC KASHINDWA.HEKO ZITTO ZUBEIR WA KABWE.
 
Mh Zitto alikua na point kutetea kuibeba mitambo,ili hao wanotugawia umeme sa'izi wasingekua na jeuri hiyo,ila tumezidi ukondoo,let's us get up enough is enough,mgawo kwa ajili ya visa vyao twaumia siye
 
Germany Elimu bure na ukimaliza waambie wananchi wako umesoma bure kwa ajiri ya watu wenye vision walioona umuhimu wa kusaidia binadamu wote ili kufikia malengo yao na kujikomboa na sio bunge mnalopeana mikopo ya mamilioni kununua magari ya kifahari huku vijana wakinyimwa pesa za kula vyuoni na kuwafukuza eti wamegoma...magari mliyopeana mikopo na mafuta ya bure na bila aibu mkajiongezea madereva bungeni yanatosha kuwasha umeme nchi nzima!


nakubaliana nawe mkuu! ila huyu Bwana hata simwelewi. Kwanza ana mkataba gani na ujerumani maana wamekuwa marafiki zake sana. Pili ankuwa anageuka geuka sana kiasi kwamba hiyo Phd anayoitafuta inaweza kumharibu zaidi. i guess he is looking for pride zaidi. He must be extremely care to save people's interests otherwise he will die natural death, ofcourse in the way to it i can see
 
TATIzo ni chuki kwani baada ya Zitto kumkabili mchaga Mbowe ndio vibaraka wote wamejenga chuki mbaya kwa Zitto.leo wanahoji kama ana digrii.kwanini wasiulize kama Mbowe ana digrii? au Mpaka Kieleweke ambaye haijulikani kama ana digrii.
huyu ndio kibaraka wa Mbowe anafikiri atakuwa mbunge wa ubungo.hata Mchukia ufisadi aliyejiunga Chadema juzi tu anasema kuwa Zitto anashauriwa na vijana wa CCM yAANI NI CHUKI BINAFSI DHIDI YA ZITTO.NYOTA YA ZITTO ITAZIDI KUWAKA HATA WACHUKIE.ZITTO PIGA MASOMO MBOWE YAMEMSHINDA.BY THE WAY UNACHOCHUKUA NI ZIADA WAKATI MBOWE HATA BASIC KASHINDWA.HEKO ZITTO ZUBEIR WA KABWE.


ni kweli nyota yake inaweza kuzidi kuwaka, but let me tell you one thing, he must be very careful.
 
Sisi kama wapiga kura wake, tunakutakia masomo mema, lengo ni zuri kwako na kwa wapiga kura, nakushauri usigombee uchaguzi ujao ili upate nafasi ya kusoma bila msongo wa mawazo wa kugombana na wale tunaowaita wasioitakia nchi yetu mema. Jimbo letu linahitaji watu wenye elimu fungua milango kaka wengine tunakuja
 
Jamani wasomi wetu jitahidini basi hiyo elimu mnayopata muitumie kulisaidia taifa zaidi kuliko kuangalia maslahi binafsi. Wingi wa wasomi ungeendana na matumizi na usimamizi wa rasilimali za nchi, duh! tungekuwa mbali.Zito lakini ndo maandalizi ya wadhifa wa juu serikali au??!!!
 
Wakati mjadala wa mgawo wa umeme ukizidi kushika kasi, na jana kijana Zitto kuamua kuvunja ukimwa kwa kutoa mapendekezo ya aina mbili; kushinikiza IPTL iwashe mitambo wakati mazungumzo yanaendelea..na kutaifisha mitambo ya Dowans....hotuba ambayo bado imetanda kwenye mijadala Tz kuanzia ndani ya JF, magazetini na sasa mitaani...mwenyewe leo ameelekea ujerumani kimasoma ambako anachukua PhD katika masuala ya sayansi ya uchumi.

Najua Ujerumani hakuna mgawo...tunapojadili hotuba yake eneo muhimu zaidi liwe kutoa mapendekezo au kupitisha mapendekezo na hatua za kuchukua kuhakikisha mapendekezo mazuri yanatekelezwa na serikali badala ya kubishana huyu hivi, huyu vile huku mgawo ukiendelea kutikisa nchi.

Aisee mi nafkiri Masters inatosha labda kama anataka kwenda kufundisha, nchi ya ajabu sana hii maana maProf wote wanakimbilia SI-HASA.

By the way, all the best ndugu Zitto Kabwe, Allah akufanyie wepesi In Sha Allah
 
TATIzo ni chuki kwani baada ya Zitto kumkabili mchaga Mbowe ndio vibaraka wote wamejenga chuki mbaya kwa Zitto.leo wanahoji kama ana digrii.kwanini wasiulize kama Mbowe ana digrii? au Mpaka Kieleweke ambaye haijulikani kama ana digrii.
huyu ndio kibaraka wa Mbowe anafikiri atakuwa mbunge wa ubungo.hata Mchukia ufisadi aliyejiunga Chadema juzi tu anasema kuwa Zitto anashauriwa na vijana wa CCM yAANI NI CHUKI BINAFSI DHIDI YA ZITTO.NYOTA YA ZITTO ITAZIDI KUWAKA HATA WACHUKIE.ZITTO PIGA MASOMO MBOWE YAMEMSHINDA.BY THE WAY UNACHOCHUKUA NI ZIADA WAKATI MBOWE HATA BASIC KASHINDWA.HEKO ZITTO ZUBEIR WA KABWE.
Mkuu kichekesho wanahoji digrii ya Zitto mbona mbona hawahoji mboweee hana hata dv 5 ? Chuki zao ni buree ZITTO ANANG'ARA NA INSHAALLAH ATAZIDI KUNG'ARA.
 
Echo kijana madhuhuri taifa linakutegemea licha ya misukosuko ya hapa na pale, bali Mungu yu pamoja nawe.
 
Back
Top Bottom