KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Zitto Hana mamlaka ya kuhutubia taifa ila mamlaka ya kuhutubia Wana -ACT anayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
March 29, 2020
Mh. Zitto Kabwe akihutubia taifa kuhusu ugonjwa wa COVID - 19 unao sababishwa na virusi vya coronavirus na kutoa ushauri ya namna bora Tanzania kama taifa inavyoweza kupambana na gonjwa hili hatari.
Source : Weyani TV
Kama hata tusiokuwa ACT tunafuatilia kuliko zile hotuba za magogoni basi anahutubia taifa.Huyo msaliti ahutubie taifa lipi? Labda taifa la ACT Wazalendo!
March 29, 2020
Mh. Zitto Kabwe akihutubia taifa kuhusu ugonjwa wa COVID - 19 unao sababishwa na virusi vya coronavirus na kutoa ushauri ya namna bora Tanzania kama taifa inavyoweza kupambana na gonjwa hili hatari.
Source : Weyani TV
Hakusema hivyo.Huyu si ndio alitoka kusema watu watakufa sana?
March 29, 2020
Mh. Zitto Kabwe akihutubia taifa kuhusu ugonjwa wa COVID - 19 unao sababishwa na virusi vya coronavirus na kutoa ushauri ya namna bora Tanzania kama taifa inavyoweza kupambana na gonjwa hili hatari.
Source : Weyani TV
Acha ujinga! Zito kabwe hajawahi kuwa msaliliti wa chama au taiga!! Tatizo mnatumia akili za akina lema na polepole kuwa jaji watu! Muulize hata pascal anajua namna gani ambavyo zito ni non- current asset kwenye taifa hiliHuyo msaliti ahutubie taifa lipi? Labda taifa la ACT Wazalendo!
Taifa#taigaAcha ujinga! Zito kabwe hajawahi kuwa msaliliti wa chama au taiga!! Tatizo mnatumia akili za akina lema na polepole kuwa jaji watu! Muulize hata pascal anajua namna gani ambavyo zito ni non- current asset kwenye taifa hili
Amehutubia sasa, wewe unatakaje,na wewe kahutubie nyumbani kwako kama unacho cha kuhutubia.Jinga weweZitto Hana mamlaka ya kuhutubia taifa ila mamlaka ya kuhutubia Wana -ACT anayo.
Kwa ufahamu wako ,watu watahitaji kujua kiwango chako cha elimu, Mimi sihitaji kujua hilo kwa sababu jibu ninaloAmehutubia sasa, wewe unatakaje,na wewe kahutubie nyumbani kwako kama unacho cha kuhutubia.Jinga wewe