Zitto: Chadema kina mahusiano na chama cha RENAMO 'wauji' cha huko Msumbiji.

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Hizo tuhuma ni nzito kwa Chadema kutoka kwenye andiko lake hapa jf.

Chadema kunasabaishwa na kilichopata kutuhumiwa ni chama cha kigaidi cha RENAMO cha huko Msumbiji ni jambo linalo fikirisha sana hasa wakati huu Mbowe ambaye ni M/kiti wa Chadema akiwa gerezani kwa tuhuma za makosa ya ugaidi!

Kwa nini leo Zitto ametoa andiko hilo?!

Chadema kitoke hadharani kukanusha kashfa hiyo.
 
Ni suala la muda tuu, hata makaburu walikiita chama cha ANC wauaji, huku akina Mandela wakiitwa magaidi na kuhukumiwa jela, ila siku ya mwisho ukweli uliji dhihirisha na makaburu wakapiga magoti na kuomba msamaha……,,,hivyo makaburu CCM na ma-snitch wenu akina zitto kaeni mkao wa kuliwa…..
 
Rubbish nyingine hii hapa sijui imetokea wapi, ngeni kabisa JF
 
CHADEMA niagaidi kitambo sana kama unabisha niulize musa tesha ma waitara achilimbali chacha wangwe


USSR
 


Hiyo kashfa ipo wapi na kwanini leo ndio habari hii??!!
 
... takataka!
 

Mnafiki tu huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…