Zitto: Chadema kina mahusiano na chama cha RENAMO 'wauji' cha huko Msumbiji.

Zitto: Chadema kina mahusiano na chama cha RENAMO 'wauji' cha huko Msumbiji.

Habari yenyewe Iko wapi?Tupe link tukasome wenyewe
 
Hizo tuhuma ni nzito kwa Chadema kutoka kwenye andiko lake hapa jf.

Chadema kunasabaishwa na kilichopata kutuhumiwa ni chama cha kigaidi cha RENAMO cha huko Msumbiji ni jambo linalo fikirisha sana hasa wakati huu Mbowe ambaye ni M/kiti wa Chadema akiwa gerezani kwa tuhuma za makosa ya ugaidi!

Kwa nini leo Zitto ametoa andiko hilo?!

Chadema kitoke hadharani kukanusha kashfa hiyo.
Kama ukikiita RENAMO chama cha kigaidi basi FRELIMO nacho ni chama cha kigaidi. Wote walibeba silaha, wote waliamini wanapigania ukombozi wa nchi yao.
 
Hizo tuhuma ni nzito kwa Chadema kutoka kwenye andiko lake hapa jf.

Chadema kunasabaishwa na kilichopata kutuhumiwa ni chama cha kigaidi cha RENAMO cha huko Msumbiji ni jambo linalo fikirisha sana hasa wakati huu Mbowe ambaye ni M/kiti wa Chadema akiwa gerezani kwa tuhuma za makosa ya ugaidi!

Kwa nini leo Zitto ametoa andiko hilo?!

Chadema kitoke hadharani kukanusha kashfa hiyo.
Jamani mnataka Zitto tumueleweje? Anatetea magaidi au anapinga ugaidi?
What is Zitto's credibility against terrorism?
 
Hizo tuhuma ni nzito kwa Chadema kutoka kwenye andiko lake hapa jf.

Chadema kunasabaishwa na kilichopata kutuhumiwa ni chama cha kigaidi cha RENAMO cha huko Msumbiji ni jambo linalo fikirisha sana hasa wakati huu Mbowe ambaye ni M/kiti wa Chadema akiwa gerezani kwa tuhuma za makosa ya ugaidi!

Kwa nini leo Zitto ametoa andiko hilo?!

Chadema kitoke hadharani kukanusha kashfa hiyo.
Zitto sio boya unavyodhani
 
..frelimo wana mahusiano na renamo kama mnavyoona hapo ktk picha ya maraisi wa vyama hivyo.

..na mahusiano hayo yana baraka za viongozi wa afrika akiwemo mzee jakaya kikwete, mzee paul kagame, na wengine.


1640630858110.png
 
Hizo tuhuma ni nzito kwa Chadema kutoka kwenye andiko lake hapa jf.

Chadema kunasabaishwa na kilichopata kutuhumiwa ni chama cha kigaidi cha RENAMO cha huko Msumbiji ni jambo linalo fikirisha sana hasa wakati huu Mbowe ambaye ni M/kiti wa Chadema akiwa gerezani kwa tuhuma za makosa ya ugaidi!

Kwa nini leo Zitto ametoa andiko hilo?!

Chadema kitoke hadharani kukanusha kashfa hiyo.
Weka kwanza source ili warekebishe la sivyo mtandao haushughuliki na matapishi ya walevi kama haya
 
..maridhiano ya frelimo na renamo yakishuhudiwa viongozi wa dini, na maraisi wa afrika, akiwemo mzee kikwete.

1640631122963.png
 
..Rais wa Msumbiji akitoa heshima za mwisho wa mwili wa Alfonso Dhlakama mwenyekiti wa Renamo

 
Hizo tuhuma ni nzito kwa Chadema kutoka kwenye andiko lake hapa jf.

Chadema kunasabaishwa na kilichopata kutuhumiwa ni chama cha kigaidi cha RENAMO cha huko Msumbiji ni jambo linalo fikirisha sana hasa wakati huu Mbowe ambaye ni M/kiti wa Chadema akiwa gerezani kwa tuhuma za makosa ya ugaidi!

Kwa nini leo Zitto ametoa andiko hilo?!

Chadema kitoke hadharani kukanusha kashfa hiyo.
Hiyo inaeleweka mda mrefu mkuu. Haya ni mauaji/matukio yaliyofanywa na Chadema

1. Mauaji ya viongozi wa serikali za mitaa. Vijiji na kata kibiti.
2. Mauaji ya Chacha Wangwe
3. Mauaji ya Acquilin
4. Ulipuaji wa bomu Soweto Arusha
5. Kuchoma moto ofisi zao
6. Ni wadhamini wa ugaidi Mtwara.

Kenge wafia chama watakuja na matusi lakini ukweli ndiyo huo.
 
Back
Top Bottom