Tetesi: Zitto jiandae kushika wadhifa katika serikali ya Hapa kazi tu

Lumumba wameingia mitini,watakuwa wamemind kinyama!
 
Tuliposema ni ccm b watu walibisha sana sasa mkulu anawathibitishia
 
Huyu Mama alikuwa Mwnkt wa Wanawake wa Chadema. Mkoa Singida, bila ya kupitia huko na kujiunga ACT ingekuwa bado yupo mavumbini
 
Du chama kile wameishiwa mbaka wanakopa watu chama alafu bado watu wanavaa kijani mtaani
 
huenda ikatokea. sijui ikitokea watakubali kufanya kazi na rais waliyesema ana element za kidikteta...

itatokea mara ngapi, kitila si anakula matapishi yake? yupo kimyaaaa hatusikiii tena kelele zake anakula nchi kimya kimya tu, leo mama magwira kesho zuberi......
 
Maendeleo hayana chama. Hata museven kamteua Kiiza kuwa balozi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…