Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alizuia treni la umeme akishirikiana na jombake tumbili, sasa je?Bundi ni mkubwa kiasi kwamba anataka kuvunja tawi alilosimamia/kukalia
Hiyo ndiyo siasa waliyoichagua hao. Vinginevyo wanakuwa hasumuni (irrelevant) na unfashionable (unpopular).Kuna watu ni Viongozi lakini wanayoandika kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii utasema ni waimbaji wa bendi ya Taarabu
Mbona maturity inaonekana ndogo hivyo
Zitto ni chawa wa mamaKuna watu ni Viongozi lakini wanayoandika kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii utasema ni waimbaji wa bendi ya Taarabu
Mbona maturity inaonekana ndogo hivyo
Inasikitisha sanaHiyo ndiyo siasa waliyoichagua hao. Vinginevyo wanakuwa hasumuni (irrelevant) na unfashionable.
Siasa ina kila aina ya vurugu .Kuna watu ni Viongozi lakini wanayoandika kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii utasema ni waimbaji wa bendi ya Taarabu
Mbona maturity inaonekana ndogo hivyo
Nape ni bonge moja la mshikaji wa mtaa yani unaweza kuwa nae ukahisi upo tu na mwanao wa BukoliInasikitisha sana
Yaani Kiongozi anaandika utasema sio Kiongozi
Nimeona pia Nape Nnauye kule CCM naye ana huo uandishi
Yaani wanaadika kama waswahili wa Mtaa wa Tandale 🙌
Ndiyo maana amekuwa hivyoNape ni bonge moja la mshikaji wa mtaa yani unaweza kuwa nae ukahisi upo tu na mwanao wa Bukoli
Mkumbuke vilevile Lissu aliwahi kusema CHADEMA siyo mama yake.Nape ni bonge moja la mshikaji wa mtaa yani unaweza kuwa nae ukahisi upo tu na mwanao wa Bukoli
Hakika aiseeSiasa ina kila aina ya vurugu .
Ulipewa uwenyekiti na mbowe ukiwa jela sawa chawa wambowe endelea kumtukana lissu ipo siku utakumbukaKupitia ukurasa wake wa mtandao wa X. Zitto Kabwe amesema bundi ametua kwa majirani na kuahidi kusuluhisha vita.
View attachment 3175280