The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Zito Kabwe amesema hili leo wakati akiichambua bajeti ya Magufuli 2020/2021 pamoja na kutoa mwelekeo wa chama chake kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba, 2020.
Amesema kama chama cha ACT - WAZALENDO kitapata ridhaa ya wananchi wa Tanzania kupitia sanduku la kura ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuunda serikali itakayoshirikisha vyama washirika.
Akaendelea kusema, jambo la kwanza watakalofanya na kwa kuwa serikali chini ya ACT WAZALENDO na vyama washirika watairithi bajeti kuu hii hii inayokwenda kupitishwa na bunge la CCM kesho trh 17/6/2020, basi watakachofanya ni kuitisha Bunge maalumu la bajeti mwezi January, 2021 na kuifumua bajeti yote hii na kuiseti upya ili kuleta uhalisia.
Amesema, watairejesha nchi katika mstari wake isiendelee kuserereka kwenda kwenye uharibifu.
Tazama video yake hapa akizungumza.
Amesema kama chama cha ACT - WAZALENDO kitapata ridhaa ya wananchi wa Tanzania kupitia sanduku la kura ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuunda serikali itakayoshirikisha vyama washirika.
Akaendelea kusema, jambo la kwanza watakalofanya na kwa kuwa serikali chini ya ACT WAZALENDO na vyama washirika watairithi bajeti kuu hii hii inayokwenda kupitishwa na bunge la CCM kesho trh 17/6/2020, basi watakachofanya ni kuitisha Bunge maalumu la bajeti mwezi January, 2021 na kuifumua bajeti yote hii na kuiseti upya ili kuleta uhalisia.
Amesema, watairejesha nchi katika mstari wake isiendelee kuserereka kwenda kwenye uharibifu.
Tazama video yake hapa akizungumza.