Zitto Kabwe Agonga Mwamba kwa Madiwani wa ACT Wazalendo Kigoma ujiji

Hii ni episode zitto hivyo usipindishe hoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe story hujaisoma unaingiza utabiri. mgogoro ni wa ndani ya chama madiwani wametofautiana kwenye 10% ambayo inaonekana mnufaika ni Zitto na Meya wake na ukumbuke kuwa kikao hicho ni kikao cha ndani ya Chama chenye wajumbe ambao ni makada wa zambarau sasa hiyo ccm na Bashiru wanaingiaje
 
Njaa mbaya sana. Ipo siku mtaaibika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…