Zitto Kabwe akitajwa kokote au akasifiwa, CHADEMA hukosa raha. Kwanini roho za kutu?

Zitto Kabwe akitajwa kokote au akasifiwa, CHADEMA hukosa raha. Kwanini roho za kutu?

Zitto yupi, aliyeahidiwa ubalozi na CCM?. Yule alishajifia kisiasa anatembelea upepo wa Pemba ya Maalim Seif.
Kuna chuki inaonekana wazi wazi CDM wako nayo kwa Zitto. Hapa naona kuna watu wengi hawajibu hoja yako bali wanathibitisha tu ulichosema.

Jaribu kufikiria, hivi vikao vya maridhiano kama ingekua ni vya Zitto na ccm, wangemuita pandikizi, au anatumika. Lakini wao wanajiona ni halali kufanya maridhiano na ccm na hawawi wanatumika.

Kuna hoja ya katiba mpya. Zitto na baadhi ya wanaharakat wanataka kwanza ipatikane tume huru ya uchaguzi coz hata hiyo katiba mpya ili ipitishwe kutakua na referendum ambayo itasimamiwa na tume so kuna hatari kama referendum itafanyika bila tume huru, katiba inaweza kuchakachuliwa.
Chadema wanapinga. Wanatakankatiba mpya kwanza kabla ya tume, and wanapinga just b'cause hoja ya tume kwanza ni ya Zitto. Wanamchukia.
 
Kuna chuki inaonekana wazi wazi CDM wako nayo kwa Zitto. Hapa naona kuna watu wengi hawajibu hoja yako bali wanathibitisha tu ulichosema.

Jaribu kufikiria, hivi vikao vya maridhiano kama ingekua ni vya Zitto na ccm, wangemuita pandikizi, au anatumika. Lakini wao wanajiona ni halali kufanya maridhiano na ccm na hawawi wanatumika.

Kuna hoja ya katiba mpya. Zitto na baadhi ya wanaharakat wanataka kwanza ipatikane tume huru ya uchaguzi coz hata hiyo katiba mpya ili ipitishwe kutakua na referendum ambayo itasimamiwa na tume so kuna hatari kama referendum itafanyika bila tume huru, katiba inaweza kuchakachuliwa.
Chadema wanapinga. Wanatakankatiba mpya kwanza kabla ya tume, and wanapinga just b'cause hoja ya tume kwanza ni ya Zitto. Wanamchukia.
Iv mnamaanisha zitto uso fenesi au yupi
 
Zitto yupi, aliyeahidiwa ubalozi na CCM?. Yule alishajifia kisiasa anatembelea upepo wa Pemba ya Maalim Seif.
Kuna chuki inaonekana wazi wazi CDM wako nayo kwa Zitto. Hapa naona kuna watu wengi hawajibu hoja yako bali wanathibitisha tu ulichosema.

Jaribu kufikiria, hivi vikao vya maridhiano kama ingekua ni vya Zitto na ccm, wangemuita pandikizi, au anatumika. Lakini wao wanajiona ni halali kufanya maridhiano na ccm na hawawi wanatumika.

Kuna hoja ya katiba mpya. Zitto na baadhi ya wanaharakat wanataka kwanza ipatikane tume huru ya uchaguzi coz hata hiyo katiba mpya ili ipitishwe kutakua na referendum ambayo itasimamiwa na tume so kuna hatari kama referendum itafanyika bila tume huru, katiba inaweza kuchakachuliwa.
Chadema wanapinga. Wanatakankatiba mpya kwanza kabla ya tume, and wanapinga just b'cause hoja ya tume kwanza ni ya Zitto. Wanamchukia.
Iv mnamaanisha zitto uso fenesi au yupi
Haya sasa na ww ndo umeandika nn ndugu?
 
Choka mbaya Wengi mna wenge na hasira za hapa na pale

tafuta mchongo kwanza uone kama hayo makasiriko madogo madogo yatakuwepo


Wenzako tukijadili Siasa tunajadili kama Tom & Jerry
Mimi choka mbaya ninayejitambua siyo tajiri mjinga kama wewe unayeongozwa na unafiki. Siasa ni maisha siyo mchezo wa draft kwenye ulevi.
Siasa ni social economy relation, ustawi wa jamii yeyote duniani unatokana na siasa makini zenye uongozi bora siyo wapumbavu wanaoona siasa ni katuni za tom and jerry
 
Ila sisi huku jukwaani hatuna baya na mtu yeyote kwa kweli! Labda huko kwengine ambako hatuna la kufanya.
 
ngoja kwanza?

unajua Wajumbe wa Kamati ya Maridhiano upande wa Chadema kuna mkono wa Zitto kwny kupendekeza majina?


majimbo wanayotoka wale Wajumbe kina Heche …CCM huenda ikayakodisha kwa miaka mitano kuimarisha maridhiano na ndio sababu hata progress ya vikao Ndugu Lissu anayajua kupitia vijiwe visivyo rasmi
😂😂 We jamaa bwana imebidi nicheke tu.
 
Back
Top Bottom