SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Udini ulihusika hapaLakini wakati wa magufuli alipaza sauti sana kupinga ukatili wa magufuli!....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udini ulihusika hapaLakini wakati wa magufuli alipaza sauti sana kupinga ukatili wa magufuli!....
Kijana aliyejikita kwenye political graft si wa kumuamini hata kidogoZito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume huru ya uchaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!
Entangled in a Web of Conflict of Interest?
What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
Bila wapemba hakuna ACT Wazalendo,akiwavuruga tu wakishusha tanga amekwisha atabaki kama yule profesa uchwara wa Buguruni.Zitto anaithamini zaidi Zanzibar kuliko Tanganyika kwa sababu ndiyo inayompa kula kwa sasa
Ndiyo misukuke ya uvccm inavyo jitoaga akiliKwani Katiba mpya ni kwa ajili ya Chadema tu? Na Ngorongoro, Loliondo na na masuala ya ulinzi wa rasilimali za Taifa ni kazi ya Chadema tu?
Sasa hivi zzk siku zake za kubakia kwenye siasa zipo mikononi mwa wa pembaBila wapemba hakuna ACT Wazalendo,akiwavuruga tu wakishusha tanga amekwisha atabaki kama yule profesa uchwara wa Buguruni.
Hata kabla ya Samia...na nguvu ya ACT Zanzibar, ZZK alitimuliwa CDM kwa hulka yake ya udalali (ndumi la kuwili)!Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume huru ya uchaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!
Entangled in a Web of Conflict of Interest?
What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
Upo sahihi sana kiongozi.Hata kabla ya Samia...na nguvu ya ACT Zanzibar, ZZK alitimuliwa CDM kwa hulka yake ya udalali (ndumi la kuwili)!
Tatizo kubwa la vijana Tanzania ni Njaa na Umaskini. Wakitamanishwa fedha tamaa zinawaka, wanalamba na wanapoteza malengo!
Mifano ipo mingi!
Fedha na wanawake wazuri.Lakini wakati wa magufuli alipaza sauti sana kupinga ukatili wa magufuli!....
Juzi nimeona anadai kuwa yeye kwa sasa ndiye chaguo sahihi 2025 kama rais wa Tanzania.Fedha na wanawake wazuri.
Ni adui wa wanasiasa vijana!
Dini inataka tuwe wamoja na kupeana sapoti hata kama halina maslahi kwa umma!! Pia nimenusa fursa mule hivyo sitaki kuongea wakati wa kula. Ishi humo!Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume huru ya uchaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!
Entangled in a Web of Conflict of Interest?
What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
Umesahau na udini wakeZito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume huru ya uchaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!
Entangled in a Web of Conflict of Interest?
What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
na kweli udini unamsumbua sana.Kwa sasa hawezi kufanya hayo maana pia udini unamsumbua anaona ni wakati wake kuonyesha utii kwa mwenye kiti
Wakati ule alikuwa huru kukosoa kwa sababu ya imani tofauti ya kidiniLakini wakati wa magufuli alipaza sauti sana kupinga ukatili wa magufuli!....
Mke wake Disiii. Baba Mkwe mshauri wa Mama ikulu. Nimeona katoa pole tetemeko la Morocco. Act bwaana 😁😁Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume huru ya uchaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!
Entangled in a Web of Conflict of Interest?
What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
5. To crown it all, Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
Hivi ni kweli yule mzenji amepewa udc?Mke wake Disiii. Baba Mkwe mshauri wa Mama ikulu. Nimeona katoa pole tetemeko la Morocco. Act bwaana [emoji16][emoji16]
Zzk na Fayza na The big show hawana tofautiWakati ule alikuwa huru kukosoa kwa sababu ya imani tofauti ya kidini
Ndiyo hiyo kuwa Entangled in the conflict of interest! Sasa Morocco sawa kuwappa pole, lkn ya nyumbani ni first priority...kwako kunaungua unakimbilia kuzima kwa jirani ni AKILI MATOPEMke wake Disiii. Baba Mkwe mshauri wa Mama ikulu. Nimeona katoa pole tetemeko la Morocco. Act bwaana 😁😁
Uko sahihi no apology bro we thank you for the observation.Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume huru ya uchaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!
Entangled in a Web of Conflict of Interest?
What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
5. To crown it all, Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
Chama cha ACT siku hizi kinatoa matamko kupitia wasemaji wao wa kisekta. Hayo ulo orodhesha wamesha yaongelea yote. Gone are days za Zitto kusimama mbele ya waandishi kwa kila kitu.Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume huru ya uchaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!
Entangled in a Web of Conflict of Interest?
What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
5. To crown it all, Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)