Wewe binti upo.....!!??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Taratibu mkuu, nani unamuita binti?? Usiangalie avatar tu, uwe unaangalia na ID
Huyo Mungu ni nani na Pacemaker ya nini?Washawaita watoto wao majina ya Musa, lakini tunahenyeshwa na farao kupita maelezo!!
Wengine wameawaita mohamed usidhani wanakuwa "MTUME"
Wengine wanajiita mungu lakini wana pacemaker kumoyo.
Amen rahISIS NI GODDESS. ..please Google OSIRI ISIS NA HORUS. ...ISIS IS A GODDESS OF 10000 NAMES. .View attachment 450852 View attachment 450852
HahahahaaaSamahani ndugu.....macho ya uzee.....avator yako nimeifananisha na ya mpwa wangu mmoja humu.......
Hili ndo alilolitaka na kumaanisha..afadhali umempa.Itakua alikua na mimba kabla ya kufunga ndoa.
Huyo Mungu ni nani na Pacemaker ya nini?
We mgeni humu??au ndo ule inspires wivu wakike? Changia Mada husika acha kuchunguza watu.Hewaa ndiyo huyo huyo.....sasa nikashangaa kuikuta kwa mtu mwingine....tena kijana wa kiume.....
Inakuwaje mtoto wa kiume utumie avator ya kike.....au kuna kitu kinaendelea kati yao.......!!!
Any way.....is non of my bussiness....
Santeeeeee [emoji122] [emoji122] [emoji120] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We mgeni humu??au ndo ule inspires wivu wakike? Changia Mada husika acha kuchunguza watu.
Una uhakika gani!?Hongera kwake kwa kufanya kazi baarabaara
unamaanisha ni mtoto wa zinaaItakua alikua na mimba kabla ya kufunga ndoa.