_aysher
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,131
- 942
Usijali my dear kwani "kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.Asante mpendwa wangu, at least mpo mnaotutakia mema hawa wachache wenye husda hawatushughulishi.
Allahuma Amiyn.[emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali my dear kwani "kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.Asante mpendwa wangu, at least mpo mnaotutakia mema hawa wachache wenye husda hawatushughulishi.
Allahuma Amiyn.[emoji120]
Kabisa,asante aysherUsijali my dear kwani "kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
Anaye mtoto mkubwa tu mbona. That baby siyo first born wake kwa infoTunaomba data hapa
Muite faru john juniormi nikipata mtoto wa kiume sijui nimtweet jamaa yetu wa ferry aniruhusu nimwite jina lake?
napenda iwe hivyo lakini naogopa kishenzi, akinichenjia naweza kujikuta nakosa kumlea mwanangu hivihivi
hahahaaaaa
Ni sawa! Lakini si mbaya mda mwingine kumuonyesha makhaba mwanamke wako walau kwa kuweka avatar yake kwa profile yako.. That's my girl na najua hata Mkuu KikulachoChako anafahamu ila ameamua afanye kusudi tu..
Ni sawa! Lakini si mbaya mda mwingine kumuonyesha makhaba mwanamke wako walau kwa kuweka avatar yake kwa profile yako.. That's my girl na najua hata Mkuu KikulachoChako anafahamu ila ameamua afanye kusudi tu..
mkuu vijana wako hao wanaenda mbali sanaBwana mdogo umekwenda mbali sana........ungempa tu hongera ingetosha.....
hahaaaa mkuu mswalie mtumeJina la mtoto refuu ...
Huyo dogo atakuja kuwa msaliti sana hata kwenye mahusiano
Huu uzi haujaletwa na zitto we mayala bKupata mtoto zitto mpaka unaleta huku vitu vingine havina maana hata kidogo,bora huo mda wa kuandika ukalala tu