Hakuna kitu kama hicho.Ongera, sana zito kabwe
Na wewe kaopoe wa Kwako, acha wivu!Inaonekana Mimba Ndo Iliwafungisha Ndoa
- Ila Jamani Tuache Utani Zitto Kaopoa Bonge La Mtoto Mzuri
Mama ndo mwenye uhakika!Majibu umeyaona
picha ya prorile mkuu The bold ina maana ya picha ya mmiliki wa ukurasa, hayo yamesababishwa na kuwepo picha tofauti, (nawaza kwa sauti)Taratibu mkuu, nani unamuita binti?? Usiangalie avatar tu, uwe unaangalia na ID
si wa kike, sasa itakuwaje mkuu......Mtoto nasikia kafanana na baba ake copyright [emoji23][emoji23] natania tu wakuu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tuwe na subira akue tutajuasi wa kike, sasa itakuwaje mkuu......
Tunaomba data hapaNa yule mototo wake wa yule binti wa pale UDSM?? Yeye anaitwa nani??? Yaani wazinzi bwana we acha tu, ndiyo maana tunasema Tz hakuna upinzani ni unafiki tu
Ni sawa! Lakini si mbaya mda mwingine kumuonyesha makhaba mwanamke wako walau kwa kuweka avatar yake kwa profile yako.. That's my girl na najua hata Mkuu KikulachoChako anafahamu ila ameamua afanye kusudi tu..picha ya prorile mkuu The bold ina maana ya picha ya mmiliki wa ukurasa, hayo yamesababishwa na kuwepo picha tofauti, (nawaza kwa sauti)
Ni sawa! Lakini si mbaya mda mwingine kumuonyesha makhaba mwanamke wako walau kwa kuweka avatar yake kwa profile yako.. That's my girl na najua hata Mkuu KikulachoChako anafahamu ila ameamua afanye kusudi tu..
Honey...no need bwana![emoji19]
Kwanza uliyemquote anasema eti picha ya profile ina maana ya picha ya mmiliki wa ukurasa...WTF?
Ni wangapi wanaotumia Avatar za picha zao halisi humu?
Sasa kama ID's ni fake,Avatar fake pia wanakuandama ya nini?
Inashangaza kuona mtu anampangia namna ya kuishi asiyemjua.
Halafu anayepangiwa keshachagua namna yake ya kuishi.
Kuna watu wana Avatar za wanyama huku,miti,wadudu etcNi ajabu kabisa..
Nilikuwa sitaki hata kumjibu, ila basi tu..
Kuna watu wa ajabu sana hapa duniani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna watu wana Avatar za wanyama huku,miti,wadudu etc
Kwanini wasiwazonge?
Kwani kuna mnyama/mdudu/mti wenye access ya kuingia humu?
Watu bwana![emoji13]
Nawapenda sana nifa na the bold na hayo ndio mahaba ya dhati, yenye ukweli sio wengine kujificha ficha tu wizi mtupu!!!! Hongereni mungu awakinge na husda.Ni sawa! Lakini si mbaya mda mwingine kumuonyesha makhaba mwanamke wako walau kwa kuweka avatar yake kwa profile yako.. That's my girl na najua hata Mkuu KikulachoChako anafahamu ila ameamua afanye kusudi tu..
Asante mpendwa wangu, at least mpo mnaotutakia mema hawa wachache wenye husda hawatushughulishi.Nawapenda sana nifa na the bold na hayo ndio mahaba ya dhati, yenye ukweli sio wengine kujificha ficha tu wizi mtupu!!!! Hongereni mungu awakinge na husda.