Mimi kwa uelewa wangu, may be hiyo 1,000,000,000 ni kama kampuni iwe na mtaji angalau kiasi hichoUkisoma tangazo unaona mkataba uliotakiwa.ni 2021/2022 lakini tumeelezwa mkataba ni wa miaka miwili.
Ukisoma masharti utaona kipengele kinasema mwomba should sound financial good minimum 1,000,000,000 hivyo utaona kama Simba walijilimit tunaweza kusema mwombaji katoa pesa ndogo kumbe walimpa bei elekezi.
Hata mimi nimeelewa hivyo ila mtu anapokuja na kutoa kiasi hicho nsio napata mashakaMimi kwa uelewa wangu, may be hiyo 1,000,000,000 ni kama kampuni iwe na mtaji angalau kiasi hicho
Mkuu unaelewa ata utaratibu wa kutangaza tenda lakini? Kwenye tenda yoyote Ile lazima kuwe na amount ambayo inatajwa kama kiingilio au mtaji, so Simba wangeweza ata kuandika 10ml ila mshinda zabuni ukaskia katoa 1bil, so sio kweli kwamba Simba walijilimit ispokuwa Huo ndio utaratibu wa kutangaza tenda, labda uhoji vitu vingineUkisoma tangazo unaona mkataba uliotakiwa.ni 2021/2022 lakini tumeelezwa mkataba ni wa miaka miwili.
Ukisoma masharti utaona kipengele kinasema mwomba should sound financial good minimum 1,000,000,000 hivyo utaona kama Simba walijilimit tunaweza kusema mwombaji katoa pesa ndogo kumbe walimpa bei elekezi.
Mbona MO hakwenda ofisi za FCC kulalamikia ucheleweshwaji wa taratibu za mabadiliko ya Club ya Simba? ni mwendo wa kutweet tu pengine tusingeyajua haya yote...Siasa za Upinzani zimewashinda, wanahamia kwenye mpira...
Sisi watu wa soka hatutaki Siasa za CCM, ACT & CHADEMA kwenye soka.
Mikataba mingapi inafanyika kwa utaratibu kama waliofanya Simba..? Anataka uwekwe wazi the whole process ili iweje? Kwa faida ya nani? Yake Zitto? Mashabiki? Watanzania? Wafanyabiashara?
Mchakato ulivyo mimi kama mwanasimba & mwanachama sina mashaka na uongozi wangu.
NB: Kwa busara angeenda ofisini kwa CEO, Kuona namna mchakato ulivyokuwa..
Hivi ungetoa hoja yako bila kejeli usingeeleweka. Mimi kudeal na mambo ya tenda ndio shuguri zangu, hiyo tenda ina mapungufu mengi lakini sio kila mtu anayehoji anakuwa nq mawazo hasi mengine ni kuwekana sawa ili wakati mwingine waboreshe.Mkuu unaelewa ata utaratibu wa kutangaza tenda lakini? Kwenye tenda yoyote Ile lazima kuwe na amount ambayo inatajwa kama kiingilio au mtaji, so Simba wangeweza ata kuandika 10ml ila mshinda zabuni ukaskia katoa 1bil, so sio kweli kwamba Simba walijilimit ispokuwa Huo ndio utaratibu wa kutangaza tenda, labda uhoji vitu vingine
Na kuhusu mwaka 2020/2021 Huo ni msimu wa ligi au mwaka wa kimpira na sio mwaka wa kuisha mkataba, kwahiyo Kwa lugha nyepesi ni kwamba huyo mshinda zabuni ataanza kutumikia nafasi yake msimu wa 2020/2021 na sio 2019/2020, mbona Mambo Mengine madogo sana na hayaitaji degree kuelewa, au kwakuwa zito kauliza nawewe umeona uulize Tu
Sidhani kama mambo ya tenda ndio mambo yako Samahani lakini kama nilikosea au nitakosea, ingekuwa ni mambo yako sidhani kama ungehoji Kwa nini bid ya Simba ilikuwa 1bilHivi ungetoa hoja yako bila kejeli usingeeleweka. Mimi kudeal na mambo ya tenda ndio shuguri zangu, hiyo tenda ina mapungufu mengi lakini sio kila mtu anayehoji anakuwa nq mawazo hasi mengine ni kuwekana sawa ili wakati mwingine waboreshe.
Kutangaza tenda ya mwaka mmoja halafu ukatoa mkataba wa miaka miwili hiyo kitu haijakaa sawa hapo mzabuni mwingine anaweza kupinga tukapoteza muda kwenye malumbano badala ya kuelekeza nguvu kwenye mashindano yanayotukabili.
Kutangaza tenda kwa jina tofauti na jina linalotoa mkataba pia ni kosa na makosa kama hayo ndiyo yanafanya mchakato kukwama fcc
Kumbe mrembo barbra alimjibu , qmefanya vizuri sanaaKwa hiyo hujaone @bvrbvra kamjibu kwa tenda bid oliyotangazwa January? Ama mnapenda tu kuibua yasiyo na tija.
Mkuu Nadhani Club ni kampuni. Huwezi kusajili BRELA “Simba sports club” ukaishia hapo bila kuspecify. Kuna brand name na kuna company name. Timu ni moja tu ya bidhaa za kampuni.Hivi ungetoa hoja yako bila kejeli usingeeleweka. Mimi kudeal na mambo ya tenda ndio shuguri zangu, hiyo tenda ina mapungufu mengi lakini sio kila mtu anayehoji anakuwa nq mawazo hasi mengine ni kuwekana sawa ili wakati mwingine waboreshe.
Kutangaza tenda ya mwaka mmoja halafu ukatoa mkataba wa miaka miwili hiyo kitu haijakaa sawa hapo mzabuni mwingine anaweza kupinga tukapoteza muda kwenye malumbano badala ya kuelekeza nguvu kwenye mashindano yanayotukabili.
Kutangaza tenda kwa jina tofauti na jina linalotoa mkataba pia ni kosa na makosa kama hayo ndiyo yanafanya mchakato kukwama fcc
Inawezekana.mambo ya tenda siyo yangu, kwa kichwa changu cha ngumbaru unaweza kutangaza tenda ya mwaka mmoja ukatoa mkataba wa miaka miwili, unaweza kutangaza tenda kwa jina la Simba sport club ukatoa mkataba wa Simba sport club limited.Sidhani kama mambo ya tenda ndio mambo yako Samahani lakini kama nilikosea au nitakosea, ingekuwa ni mambo yako sidhani kama ungehoji Kwa nini bid ya Simba ilikuwa 1bil
na kama mambo ya tenda yangekuwa yako usingehoji Kwa nini kwenye tenda unaongelewa mwaka 2021 maana ni season
kama mambo ya tenda yangekuwa ni yako ungeelewa kuwa hadi mshinda zabuni anatangazwa ujue competitors hawanaja appeal
Na mwisho kabisa sidhani kama mambo ya tenda ni mambo yako maana ungeelewa kuwa Simba ipo kwenye mchakato wa kuchange kuwa kampuni ndomana kwa sasa walitumia jina la Simba kama taasisi Ila pesa inaingia kweny account ya kampuni maana yake mchakato upo ukingoni kumalizika
Labda nikuulize hivi unajua wanachama na mashabiki hasa wanataka nini kutoka kwenye hivi vilabu bya Simba na Yanga? Na Kama hutojali Naomba unieleweshe kitu kimoja huyo mwanachama au shabiki atapata hasara gani endapo Huo mchakato utakuwa sio wazi na haujafata utaratibu?
Tatizo sio kuwa simba sport club au simba sport club limited tatizo ninkuchanganya vitu viwili kwenye swala mojaMkuu Nadhani Club ni kampuni. Huwezi kusajili BRELA “Simba sports club” ukaishia hapo bila kuspecify. Kuna brand name na kuna company name. Timu ni moja tu ya bidhaa za kampuni.
Mfano, team kama Man Utd imesajiliwa kama PLC (public limited company), inayoendesha bidhaa ya Man Utd club.... I stand to be corrected [emoji120][emoji120]
Wanachana unawajua lakini ukiwakuta hata usoni hawajanawa.tabu tupuHivi vitu vinatakiwa kuhojiwa kwenye mkutano mkuu wa mwaka, tatizo hii mikutano inaendeshwa kienyeji wanapewa ripoti za mwaka bila kukadili kwa undani.
Muda ni mwl mzuri sanaKupitia ukurasa wake wa twita, Zitto Kabwe ameomba Klabu ya Simba iweke wazi mchakato mzima wa kumpata mtengeza jezi aliyeshinda Ndugu Fred Vunjabei.
My take: Namuunga mkono Zitto kwenye hili, uwazi ni jambo la msingi sana, tuwekwe wazi hatua kwa hatua mpka kumpata mshindi.