Royals
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,466
- 378
mkuu unasema usipoweza kujikuna inabidi ukunwe na jirani?? kwetu bara mwanaume kukunwa ni dhambi kubwa. sijui huko mchambawima
Mchamba wima na Kajamba nani waachie wenyewe. Ni ipi nzuri kuruhusu wachina wat kutoka mbali kama China kuja kuwekeza umachinga Kariakoo au kuruhisu jirani kuja kuwekeza? Ikiwa una ardhi mzuri ya kufugia ng'ombe na huku wewe unaishi kwa kuvua samaki mtoni ni busara kumwalika jirani aje atumie ardhi ile kwa kufugia ng' ombe ili wewe upate maziwa na samaku wajo wapate chakula kizuri kutokana na kuwepo kwa ng'ombe hao.