mkuu unasema usipoweza kujikuna inabidi ukunwe na jirani?? kwetu bara mwanaume kukunwa ni dhambi kubwa. sijui huko mchambawima
Kenya-pamoja na kuchinjana na ukabila wao bado wanatupiga bao. We need to shut up!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! and mind our own #$%& business. Hatuna jipya, tutaendelea kushika mkia tu
Mkuu hapo kwenye nyekundu unaweza kutupa mifano ya uwekezaji ya waingeraza hapa nchini zaidi ya Barclays Bank na Standard Chartered Bank? Just curious to know more.
Mwaka jana, gazeti la Business Times Tanzania la Tanzania ndili lililotoa takwimu hizo, kwa kushirikiana na Wizara yetu ya Uchumi na Uwekezaji."As development partners, Britain has historically been Tanzania's largest donor, and our aid programme is now the largest it has ever been. In the commercial sphere, we remain the biggest investor, with British investors in all areas of the Tanzanian economy, large and small.