Au wapewe uhuru wao wajiongoze maana imekuwa nongwa sasa. Tuwaache waha waiongoze nchi please, ni wakati wao.MKISHASIKIA MTU KATOKEA KIGOMA BASI MNAJADILI URAIA WAKE,KAMA VP KIGOMA WAPEWE BURUNDI
OVA
Tatizo kubwa la Zitto ni kukosana na Mbowe halafu bado anadunda kwenye siasa.Zitto enzi za Jk alitumika vilivyo kuvuruga Upinzania, Bahati Mbaya awamu ya JPM wakawa hawamtumii tena kipindi cha JPM CCM waliingia wenyewe front line kuvuruga Upinzano na hata Zitto alivurugwa sana enzi za JPM...
We mxe.ge unawajua Waha au unaropoka?Sijui nini kimetokea
Ila wamasai hawaukani umasai wao
Na wajaluo hawakani ujaluo wao.
Je Mpango anakiri yeye mhutu/mrundi aliezaliwa Tanzania??
Na bado Katibu Mkuu Kiongozi Kigoma pia.Kigoma mungu atupe nini jamani!! Toka uhuru kigoma tulikuwa hatujawahi kupata kiongozi wa ngazi za juu kama leo Dr philipo Mpango ni VP wenye kukelwa endeleeni kukelwa mpaka mpasuka.
Kwa upumbavu uliozusha mwenyewe nani akupe ushahidi!!??? Sisi tunachapa kazi na kuiongoza nchi. Kachukueni ushahidi kwa kigogo.Tupeni ushahidi kwanini mnaruka ruka?
Swalama Sheikh?Umepotea sanaJF, siku hizi ndiyo maana wakongwe wanachugulia na kuondoka bila kuchangia chochote, uzi kama huu kweli utapata wapi watu makini wa kuchangia labda wazee wa mipasho.
Waha, Warundi, Wanyarwanda na Wahangaza wanazungumza lugha moja japo kuna tofauti kidogo sana kwenye baadhi ya maneno/matamshi so nawashangaa wanaoshangaa nyimbo zile zilizoimbwa mbele ya VP mpya na wakumbuke kilikuwa kipindi cha kampeni so wale ndo wapiga kura wake na pale ndo kwao.Kwani waha na warundi matamshi yao yanaingiliana au wana vinasaba vinavyoshabihiana, kumbe ndo maana waha ni wabishi sana wakiungana na wale nshomile sisi watani zao wa huku Musoma inabidi tutumie panga kumaliza ubishi....
Zitto sio mnafiki, yeye anapenda haki ifanywe na yeyote yeye ataipenda. Nyinyi ndio wenye matatizo kwani haki au jambo jema likifanywa na mpinzani wako au CCM mnaona halistahili kupongezwa na likipongezwa basi mnanamuona mpongezaji ni adui wa upinzani wenu, hizo ni siasa za maji takataka ndani ya kata ya msata na hazina nafasi katika siasa za kisasa.Zitto enzi za Jk alitumika vilivyo kuvuruga Upinzania, Bahati Mbaya awamu ya JPM wakawa hawamtumii tena kipindi cha JPM CCM waliingia wenyewe front line kuvuruga Upinzano na hata Zitto alivurugwa sana enzi za JPM...
Alafu sasa wale siyo warundi na kila siyo kirundi. Tatizo ni watu kutokuwa na taarifa za kutosha. Kile ni Kiha na wale ni waha, pale walikuwa katika kampeni za 2020. Wenye lugha yetu tunawashangaa.Kigogo angekuwa known ingependeza zaidi ili awe liable anapothibitika kumchafua mtu, lakini kujificha kwa fake ID halafu unaropoka ropoka sio fair, Dr. Mpango h...
Mdini ila hayuko Peke yakeZitto enzi za Jk alitumika vilivyo kuvuruga Upinzania, Bahati Mbaya awamu ya JPM wakawa hawamtumii tena kipindi cha JPM CCM waliingia wenyewe front line kuvuruga Upinzano na hata Zitto alivurugwa sana enzi za JPM.
Ila kwa mbaali naanza kuona Zitto akirudia kazi yake sasa ya Zamani ya kutumika vilivyo kuvuruga Upinzani, huyu jamaa kwa walio karibi naye wanamjua vilivyo alivyo kwanza Mbinafisi sana na mpenda sifa.
Awamu hii ya 6 ameisha anza kujikomba vilivyo kwa watawala wapya, hii alIifanya sana enzi za JK.
Ukizingatia kwamba yuko Juu ya Mawe awamu hii ya 6 lazima awavutuge vilivyo Wapinzani kwa ahadi za Vipande vya Pesa.
Muda utaongea.
Wewe ni Muha? Kufanya kazi kambini pekee hakukupi fursa ya kuwajua waha/warundi. Mimi ni Muha na nafanya kazi kambini (RSC) nawajua Waha, Warundi, Wasubi, Wanyarwanda ma Wahangaza na tamaduni zao. Pale alipokuwa VP ni Manyovu katika kipindi cha kampeni, ni mpakani na Burundi na kuna wenyeji (ambao ndo unawaona wanaimba) hakuna kiashiria chochote cha urundi kwa watu wale maana zile nyimbo ni za Kiha na wamevaa nguo za CCM (sidhani kama CCM wana tawi Burundi)Hehehehe!! Nimecheka Sana, nimeikuta u-tube. Kweli kabisa wimbo na ngoma ni tamaduni za kirundi. Nimefanya kazi Kambini miaka ya 90 nafahamu tamaduni zao.
Ngoma za kiha kunatofauti kidogo Ila zinaelekeana.
Warundi wameendelea kutukuza Ngoma yao na kuboresha zaidi hivi nyimbo zao na Ngoma zinavutia Sana hasa Kama unafaham lugha za Kiha,kihangaza,kirundi,kinyarwanda,kishubi- na kwa mbaali kisubi(maeneo hayo ni Kigoma na Ngara na pia karagwe na Tabora maeneo ya Mwese.
Kwakua nyimbo zao zinavutia Basi watanzania wa maeneo hayowanaziadopt na kuzicheza
sasa, swala la kua VP ni mrundi au la, hao watu wa maeneo hayo huwezi watofautisha kwa sura,kuzungumza na tamaduni.
Kwa vyeti na makaburi ya Babu zao, makaburi yasizidi matatu kwa umri wa mpango.
Naomba kuishia hapo.
Kwanini wawe waha na si Warundi!!?? Unawajua waha au unapayuka?Ngoma ilichezewa Burundi? Warundi hawawezi kuvaa sare?
Kweli kabisaAu wapewe uhuru wao wajiongoze maana imekuwa nongwa sasa. Tuwaache waha waiongoze nchi please, ni wakati wao.