Zitto Kabwe: Bunge lisizuie mjadala, acha Watu waongelee hoja za CAG, huo ndio mchakato wenyewe

Zitto Kabwe: Bunge lisizuie mjadala, acha Watu waongelee hoja za CAG, huo ndio mchakato wenyewe

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Ameandika Zitto Kabwe, kiongozi wa ACT Wazalendo:

CAG akishatoa ripoti yake AMEMALIZA. Ripoti yake ni ya mwisho. Ni FINAL. Kazi inayofuata ni ya Bunge.

Umma ujue kwamba, kabla CAG hajatoa ripoti yake Serikali hupewa nafasi ya kujibu hoja za Ukaguzi. Baada ya Ripoti kutoka majibu sio kwa Serikali tena, ni kwa Bunge.

Wakati wa mchakato wa Ukaguzi Maafisa Masuuli hudharau na kuzembea kujibu hoja kwenye ‘Exit meeting’. Baada ya CAG kutoa ripoti Rasmi na kuonyesha madudu, maafisa masuuli wanalia lia.

Nimeona Waziri Jenista Mhagama na Naibu Spika Zungu wakijaribu kuzuia Wabunge kuongelea ripoti ya CAG eti kanuni haziruhusu. SIO KWELI.

Wana mislead Bunge. Siku 21 Naibu Spika anazosema Serikali inapewa NI SIKU 21 KABLA YA CAG KUANDAA RIPOTI YA MWISHO sio baada ya ripoti kutoka. Ripoti ikishatoka ni mali ya umma, inajadiliwa na kila mtu. Wabunge wana Haki hiyo pia.

Kwa Mujibu wa Sheria ya Ukaguzi Serikali ilipaswa kuwasilisha Bungeni mpango wa majibu ya hoja za CAG Pamoja (concurrently) na ripoti ya CAG. Serikali haijafanya hilo Kwa hiyo hawana Haki kuwazuia Wabunge kuzungumzia ripoti ya CAG.

Ni aibu kubwa kwamba wakati Umma unamsifia Rais kwa uwazi mkubwa kuhusu ripoti ya CAG, Bungeni, Wawakilishi wa Wananchi wanazuiwa kujadili eti mpaka Novemba!

Wananchi watahisi kuwa Serikali inataka kuficha kitu.

Namna Rais Samia amelishughulikia Suala la CAG report Ndio njia sahihi: Uwazi>Uhuru wa mjadala>Hasira >Hatua>Maelekezo>hatua zaidi zatakiwa!

Bunge lisizuie mjadala. Acha Watu waongelee hoja za CAG. Huo Ndio mchakato wenyewe.
 
Hivi kujadili tu unadhani inatosha kushughulikia swala la ufisadi lililoainishwa wazi wazi na CAG??
 
Ndio maana sina imani na Bunge, nina imani na Luhaga Mpina.

Kama tumeambiwa wizara moja tu ya Ujenzi imekula trillion 2, kwanini nisiamini jumla ya pesa zote tulizopigwa inafikia trillion 30?

Mpina aachwe aongee, asifungwe mdomo na Spika, Naibu Spika, au mwingine yeyote ndani ya bunge.
 
Ameandika Zitto Kabwe, kiongozi wa ACT Wazalendo:

CAG akishatoa ripoti yake AMEMALIZA. Ripoti yake ni ya mwisho. Ni FINAL. Kazi inayofuata ni ya Bunge...
Jambazi ni jambazi tuu. Hata akisema ameokoka bado rekodi zina baki alikiwa jambazi.

Ccm ni majambazi hawana huruma na wananchi.

Watu wameiba mali za Watanzania. Bado bunge ambalo lipo lipo kimchongo wanasema majadiliano ni Novemba.

Kwahiyo wezi waendelee kukaa ofisini hadi Novemba.

Wezi wanatumia wabunge vihiyo kina kibajaji kupotosha mwenendo wa wizi.
 
Ameandika Zitto Kabwe, kiongozi wa ACT Wazalendo:

CAG akishatoa ripoti yake AMEMALIZA. Ripoti yake ni ya mwisho. Ni FINAL. Kazi inayofuata ni ya Bunge.

Umma ujue kwamba, kabla CAG hajatoa ripoti yake Serikali hupewa nafasi ya kujibu hoja za Ukaguzi. Baada ya Ripoti kutoka majibu sio kwa Serikali tena, ni kwa Bunge.

Wakati wa mchakato wa Ukaguzi Maafisa Masuuli hudharau na kuzembea kujibu hoja kwenye ‘Exit meeting’. Baada ya CAG kutoa ripoti Rasmi na kuonyesha madudu, maafisa masuuli wanalia lia.

Nimeona Waziri Jenista Mhagama na Naibu Spika Zungu wakijaribu kuzuia Wabunge kuongelea ripoti ya CAG eti kanuni haziruhusu. SIO KWELI.

Wana mislead Bunge. Siku 21 Naibu Spika anazosema Serikali inapewa NI SIKU 21 KABLA YA CAG KUANDAA RIPOTI YA MWISHO sio baada ya ripoti kutoka. Ripoti ikishatoka ni mali ya umma, inajadiliwa na kila mtu. Wabunge wana Haki hiyo pia.

Kwa Mujibu wa Sheria ya Ukaguzi Serikali ilipaswa kuwasilisha Bungeni mpango wa majibu ya hoja za CAG Pamoja (concurrently) na ripoti ya CAG. Serikali haijafanya hilo Kwa hiyo hawana Haki kuwazuia Wabunge kuzungumzia ripoti ya CAG.

Ni aibu kubwa kwamba wakati Umma unamsifia Rais kwa uwazi mkubwa kuhusu ripoti ya CAG, Bungeni, Wawakilishi wa Wananchi wanazuiwa kujadili eti mpaka Novemba!

Wananchi watahisi kuwa Serikali inataka kuficha kitu.

Namna Rais Samia amelishughulikia Suala la CAG report Ndio njia sahihi: Uwazi>Uhuru wa mjadala>Hasira >Hatua>Maelekezo>hatua zaidi zatakiwa!

Bunge lisizuie mjadala. Acha Watu waongelee hoja za CAG. Huo Ndio mchakato wenyewe.
Naunga mkono hoja
P
 
Hivi maiti ikifukuliwa baada ya siku 21 inakuwa katika hali gani? Iwe imezikwa kwenye kaburi lenye marumaru ndani nje au kwenye yale makaburi yetu ya kifusi.
 
Ameandika Zitto Kabwe, kiongozi wa ACT Wazalendo:

CAG akishatoa ripoti yake AMEMALIZA. Ripoti yake ni ya mwisho. Ni FINAL. Kazi inayofuata ni ya Bunge.

Umma ujue kwamba, kabla CAG hajatoa ripoti yake Serikali hupewa nafasi ya kujibu hoja za Ukaguzi. Baada ya Ripoti kutoka majibu sio kwa Serikali tena, ni kwa Bunge.

Wakati wa mchakato wa Ukaguzi Maafisa Masuuli hudharau na kuzembea kujibu hoja kwenye ‘Exit meeting’. Baada ya CAG kutoa ripoti Rasmi na kuonyesha madudu, maafisa masuuli wanalia lia.

Nimeona Waziri Jenista Mhagama na Naibu Spika Zungu wakijaribu kuzuia Wabunge kuongelea ripoti ya CAG eti kanuni haziruhusu. SIO KWELI.

Wana mislead Bunge. Siku 21 Naibu Spika anazosema Serikali inapewa NI SIKU 21 KABLA YA CAG KUANDAA RIPOTI YA MWISHO sio baada ya ripoti kutoka. Ripoti ikishatoka ni mali ya umma, inajadiliwa na kila mtu. Wabunge wana Haki hiyo pia.

Kwa Mujibu wa Sheria ya Ukaguzi Serikali ilipaswa kuwasilisha Bungeni mpango wa majibu ya hoja za CAG Pamoja (concurrently) na ripoti ya CAG. Serikali haijafanya hilo Kwa hiyo hawana Haki kuwazuia Wabunge kuzungumzia ripoti ya CAG.

Ni aibu kubwa kwamba wakati Umma unamsifia Rais kwa uwazi mkubwa kuhusu ripoti ya CAG, Bungeni, Wawakilishi wa Wananchi wanazuiwa kujadili eti mpaka Novemba!

Wananchi watahisi kuwa Serikali inataka kuficha kitu.

Namna Rais Samia amelishughulikia Suala la CAG report Ndio njia sahihi: Uwazi>Uhuru wa mjadala>Hasira >Hatua>Maelekezo>hatua zaidi zatakiwa!

Bunge lisizuie mjadala. Acha Watu waongelee hoja za CAG. Huo Ndio mchakato wenyewe.
Wazungu tabia hii huiita sour grapes, Wapemba husema nyani akinyimwa tender kwa kufukuzwa hulia kuwa tende zenu ni mbichi. CUF ya Professor Lipumba waliwafukuza Waarabu wakakimbilia kwako, donge nono. Mjumbe ulipokuwa PAC kwa tikti ya CHADEMA ilitajirika kwa marupurupu ya patronage aka hongo kila siku per diem. Hadi mkauza Air Tanzania kwa makaburu shangaa hilo hulisemagi siku hizi. Pia ulisema Polisi wameua Wanyantuzu na kumteka Kanguye, baadaye ukadai Professor Assad ametekwa kumbe yuko masjid. Tender zenu ni mbichi sizitaki.
 
Kama Jana nimemwona mmoja anajibishana na Ole eti kila akiongea anafuta kiriba tumbo chake jamani!
Bungeni kumejaa wajinga na wanafiki. Wachache wenye akili na ujasiri wakiinuka, spika bandia na wabunge vibogoyo wa akili kama akina Lusinde wanatengeneza syndicate ya kuzuia mijadala.

Mpina alikuwa sahihi.
 
Yule siyo tu amekosa tu akili, hata adabu hana.
Kweli aliwahi mtukana Mzee Malechela, Hawa watu sijui Vipi mwingine kule Kongwa or Mpwapwa bila aibu yeye alitembeza fimbo kwa wenzake utafikiri Msukuma yupo mnadani
 
Ameandika Zitto Kabwe, kiongozi wa ACT Wazalendo:

CAG akishatoa ripoti yake AMEMALIZA. Ripoti yake ni ya mwisho. Ni FINAL. Kazi inayofuata ni ya Bunge.

Umma ujue kwamba, kabla CAG hajatoa ripoti yake Serikali hupewa nafasi ya kujibu hoja za Ukaguzi. Baada ya Ripoti kutoka majibu sio kwa Serikali tena, ni kwa Bunge.

Wakati wa mchakato wa Ukaguzi Maafisa Masuuli hudharau na kuzembea kujibu hoja kwenye ‘Exit meeting’. Baada ya CAG kutoa ripoti Rasmi na kuonyesha madudu, maafisa masuuli wanalia lia.

Nimeona Waziri Jenista Mhagama na Naibu Spika Zungu wakijaribu kuzuia Wabunge kuongelea ripoti ya CAG eti kanuni haziruhusu. SIO KWELI.

Wana mislead Bunge. Siku 21 Naibu Spika anazosema Serikali inapewa NI SIKU 21 KABLA YA CAG KUANDAA RIPOTI YA MWISHO sio baada ya ripoti kutoka. Ripoti ikishatoka ni mali ya umma, inajadiliwa na kila mtu. Wabunge wana Haki hiyo pia.

Kwa Mujibu wa Sheria ya Ukaguzi Serikali ilipaswa kuwasilisha Bungeni mpango wa majibu ya hoja za CAG Pamoja (concurrently) na ripoti ya CAG. Serikali haijafanya hilo Kwa hiyo hawana Haki kuwazuia Wabunge kuzungumzia ripoti ya CAG.

Ni aibu kubwa kwamba wakati Umma unamsifia Rais kwa uwazi mkubwa kuhusu ripoti ya CAG, Bungeni, Wawakilishi wa Wananchi wanazuiwa kujadili eti mpaka Novemba!

Wananchi watahisi kuwa Serikali inataka kuficha kitu.

Namna Rais Samia amelishughulikia Suala la CAG report Ndio njia sahihi: Uwazi>Uhuru wa mjadala>Hasira >Hatua>Maelekezo>hatua zaidi zatakiwa!

Bunge lisizuie mjadala. Acha Watu waongelee hoja za CAG. Huo Ndio mchakato wenyewe.
ADUI MKUBWA WA REPORTS ZOTE ZA CAG NI BUNGE
 
Back
Top Bottom