King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nasikia meko hamtaki Othman mwanasheria wa zamani kuwa Makamu wa kwanza wa rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waongo wengi hiyo ndio Lugha yao!!!! Kama ni kweli Seif alivunja katiba ya ACT wazalendo inayotaka uteuzi ufanywe na vikao vya chama sio mtu kujiandikia wosia!!Na hivi maalim hayupo lolote laweza zungumzwa
uwongo huo.Nasikia meko hamtaki Othman mwanasheria wa zamani kuwa Makamu wa kwanza wa rais.
Sawa Mkuu Jina lililoenda ni la Othman Masoud.uwongo huo.
Zitto anatia aibu hebu afunge mdomo wakeWosia!
Kwahiyo Maalim aligawa ofisi kama urithi?
Sawa Mkuu Jina lililoenda ni la Othman Masoud.
Mkeka wako umetick mlamu.[emoji736]
Watu wafupi wana akili sana. Sema huwa tunawadharau bure tu.CCM wanamwogopa Othman wanasema bora Lisu kuliko huyu. Kwa sababu Lisu anajua sheria hajui historia ila huyu anajua vyote.