johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Akiongea Ukurasani kwake X mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema Kigoma Ujiji ndio palikuwa Makao makuu ya DRC Mashariki zamani Zaire
Kwa Sasa DRC Mashariki ndio huko Goma inakopiganwa Vita
Ndio sababu Wananguaji wote wa Muziki hapa Tanzania wanatoka Kigoma zamani Zaire
Sabato Njema
Kwa Sasa DRC Mashariki ndio huko Goma inakopiganwa Vita
Ndio sababu Wananguaji wote wa Muziki hapa Tanzania wanatoka Kigoma zamani Zaire
Sabato Njema