Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!Makobazi ndiyo sababu pekee ya Zitto kulegea namna hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!Makobazi ndiyo sababu pekee ya Zitto kulegea namna hii.
Dah....huu sasa Ni upuuzi uliopitiliza....hivi mgao wa umeme na maji lazima mtangaziwe?Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema ni hali ya kawaida mwezi November kuwa na mgao wa umeme ila tu awamu iliyopita tulikuwa hatutangaziwi lakini mgao ulikuwepo.
Zitto anasema isingekuwa rahisi kutangaza kuwa kuna mgao wa umeme awamu iliyopita kwa sababu ya kuogopa ubabe.
Ameandika Zitto Kabwe.