Pre GE2025 Zitto Kabwe: Kuelekea uchaguzi 2024/2025 hakuna dalili ya Katiba Mpya hivyo ni muhimu kuweka mazingira ya kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi

Pre GE2025 Zitto Kabwe: Kuelekea uchaguzi 2024/2025 hakuna dalili ya Katiba Mpya hivyo ni muhimu kuweka mazingira ya kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Zitto Kabwe akiongea katika kipindi cha Power Breakfast amesema kuwa “Tulitarajia kwamba mambo ya 2019 na 2020 (Kuhusu uchaguzi) yangekuwa mambo ya aibu kwamba yasingeweza kutokea tena lakini yanatokea, kwa hiyo misingi ni msingi wa kikatiba na msingi wa kisheria, ni dhahiri kwamba hatuoni tukipata katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu kwa hiyo ni lazima ujenge mazingira ambayo utakuwa na tume ambayo itawafanya watu wakichaguliwa waingie bungeni , ukilitazama bunge la Kenya na bunge la Tanzania unaona tofauti ilivyo kubwa, hata sasa hivi kwa mfano sheria ingesema majina yaende kuthibitishwa bungeni na bunge hili?”

“Kuna vitu ambavyo lazima muwe mnaiga, unapata nini wakati gani ili kwenda kupata kikubwa? Kwamba lazima ujue kutofautisha kati ya vita kubwa na ndogo, vita kubwa ni ile ambayo unaitaka ambayo kwetu sisi ni katiba mpya lakini kuna vita ndogondogo hapa katikati lazima uzishinde ili uweze kufikia vita kubwa na kuipata hiyo vita ndogo ni kuishika, mfano; Huko nyuma mpaka sasa hivi ukigombea ubunge ukamteka mpinzani wako, muda wa kurudisha fomu ukapita unatangazwa umepita bila kupingwa, sasa hivi sheria imekataza kwamba ukiwa peke yako wananchi wataenda kuamua ndiyo au hapana, tulikatae hilo? Unamdai mtu Shilingi 100 anakupa 60, ichukue kwanza tia mfukoni endelea kudai 40 zilizobakia”
 
Zitto Kabwe akiongea katika kipindi cha Power Breakfast amesema kuwa “Tulitarajia kwamba mambo ya 2019 na 2020 (Kuhusu uchaguzi) yangekuwa mambo ya aibu kwamba yasingeweza kutokea tena lakini yanatokea, kwa hiyo misingi ni msingi wa kikatiba na msingi wa kisheria, ni dhahiri kwamba hatuoni tukipata katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu kwa hiyo ni lazima ujenge mazingira ambayo utakuwa na tume ambayo itawafanya watu wakichaguliwa waingie bungeni , ukilitazama bunge la Kenya na bunge la Tanzania unaona tofauti ilivyo kubwa, hata sasa hivi kwa mfano sheria ingesema majina yaende kuthibitishwa bungeni na bunge hili?”

“Kuna vitu ambavyo lazima muwe mnaiga, unapata nini wakati gani ili kwenda kupata kikubwa? Kwamba lazima ujue kutofautisha kati ya vita kubwa na ndogo, vita kubwa ni ile ambayo unaitaka ambayo kwetu sisi ni katiba mpya lakini kuna vita ndogondogo hapa katikati lazima uzishinde ili uweze kufikia vita kubwa na kuipata hiyo vita ndogo ni kuishika, mfano; Huko nyuma mpaka sasa hivi ukigombea ubunge ukamteka mpinzani wako, muda wa kurudisha fomu ukapita unatangazwa umepita bila kupingwa, sasa hivi sheria imekataza kwamba ukiwa peke yako wananchi wataenda kuamua ndiyo au hapana, tulikatae hilo? Unamdai mtu Shilingi 100 anakupa 60, ichukue kwanza tia mfukoni endelea kudai 40 zilizobakia”
Zito ana maono kuliko kibaraka 🐒
 
Zitto anawaza ubunge tuu kisa akapige maadili alikuwa akiyapiga bungeni!!
Waache uroho,tunahitaji katiba mpyaa sio katiba iloandaliwa na watu wachache Tena Kwa kujifungia mwezi mmoja na kukopi vya wakoloni;! Hatimae nchi imejaa machawa kilamtu ni kumsifu mteuzi ili apate kufaidi maziwa na asali.
Katiba hatuitafuti kisa ubunge na ishu kubwa sio uchaguzi wapinzani washinde,si kwaajili Yao tuu yapo mambo ya vijana,mambo ya teuzi,mambo ya haki za raia nk. ambayo nimuhimu kwetu tusio wanasiasa vimbelembele
 
Zitto Kabwe akiongea katika kipindi cha Power Breakfast amesema kuwa “Tulitarajia kwamba mambo ya 2019 na 2020 (Kuhusu uchaguzi) yangekuwa mambo ya aibu kwamba yasingeweza kutokea tena lakini yanatokea, kwa hiyo misingi ni msingi wa kikatiba na msingi wa kisheria, ni dhahiri kwamba hatuoni tukipata katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu kwa hiyo ni lazima ujenge mazingira ambayo utakuwa na tume ambayo itawafanya watu wakichaguliwa waingie bungeni , ukilitazama bunge la Kenya na bunge la Tanzania unaona tofauti ilivyo kubwa, hata sasa hivi kwa mfano sheria ingesema majina yaende kuthibitishwa bungeni na bunge hili?”

“Kuna vitu ambavyo lazima muwe mnaiga, unapata nini wakati gani ili kwenda kupata kikubwa? Kwamba lazima ujue kutofautisha kati ya vita kubwa na ndogo, vita kubwa ni ile ambayo unaitaka ambayo kwetu sisi ni katiba mpya lakini kuna vita ndogondogo hapa katikati lazima uzishinde ili uweze kufikia vita kubwa na kuipata hiyo vita ndogo ni kuishika, mfano; Huko nyuma mpaka sasa hivi ukigombea ubunge ukamteka mpinzani wako, muda wa kurudisha fomu ukapita unatangazwa umepita bila kupingwa, sasa hivi sheria imekataza kwamba ukiwa peke yako wananchi wataenda kuamua ndiyo au hapana, tulikatae hilo? Unamdai mtu Shilingi 100 anakupa 60, ichukue kwanza tia mfukoni endelea kudai 40 zilizobakia”

..sababu za kutopatikana Tume Huru ni nini?

..Zitto anazungumza kana kwamba baadhi ya Watanzania dhumuni lao la kuwepo hapa duniani ni kudai Tume Huru maisha yao yote.

..Haipendezi na inakera kudai Tume Huru na Katiba Mpya kwa miaka 30+ huku watawala wakitumia kodi zetu kutuzungusha.
 
Kuwekwa na nani? Huyu jamaa anamatatizo gani kichwani?? Sheria za tume ya rais zishapitishwa.
 
Mwananchi Kama unangoja kiongoz akudaie katiba mpya endelea kungoja hivyo hivyo utaipata usijal
 
Back
Top Bottom