Pre GE2025 Zitto Kabwe kugombea Urais wa Tanzania 2025, Jimbo la Ubunge Kigoma mjini anawaachia Vijana wa ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Eti Jimbo anawaachia vijana...hivi unaachiaje kitu ambacho hujakishika na huna!?
 

Zitto alishwauzia Chama Wazenji .... Naona Wazenji wanapiga somo huko Zanznzibar usiku na mchana. Wamesahau kuwa hiki chama pia kipo bara ambako ndiko waliko wengi wetu. Bila pesa ya Abdul .... kampeni za Zitto zitakuwa kama zile za Membe (RIP). Nakumbuka Membe alikuwa anahutubia watu 10 na jukwaa lake lilikuwa ni sawa na dining table!!
 
Ameshaahidiwa kitengo huko serikalini kupitia tiketi ya kugombea urais kama ilivyokuwa kwa wale wamama wawili waliogombea urais 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…