LGE2024 Zitto Kabwe: Kuliko ibaki CCM pekee, kapigeni kura za hapana

LGE2024 Zitto Kabwe: Kuliko ibaki CCM pekee, kapigeni kura za hapana

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amezungumza kwa msisitizo kuhusu mapambano ya chama hicho kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa unafanyika kwa haki, huku akiwataka wananchi wa kijiji cha Ilalanguru, Jimbo la Kigoma Kusini, mkoani Kigoma kuchagua viongozi wanaowajibika.

Akihutubia wananchi hao Novemba 21, 2024, Zitto amebainisha hatua zilizochukuliwa na ACT Wazalendo katika kudai haki ya demokrasia.

Akielezea mikakati ya ACT Wazalendo kupitia ilani yao ya uchaguzi ambayo ni maalumu kwa serikali za mitaa, Zitto ameahidi kuwa chama hicho kitarejesha uwazi na uwajibikaji katika ngazi ya vijiji. Ameeleza kuwa viongozi watakaochaguliwa kupitia chama hicho watahakikisha wanarudisha sauti za wananchi kwa kufuata maelekezo ya ilani ya uchaguzi.

Soma pia: Zitto ashauri upinzani kuungana kwenye chaguzi kuing’oa CCM



Chanzo Jambo TV


View: https://www.instagram.com/p/DCoWE6CNCvs/comments/
 
Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amezungumza kwa msisitizo kuhusu mapambano ya chama hicho kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa unafanyika kwa haki, huku akiwataka wananchi wa kijiji cha Ilalanguru, Jimbo la Kigoma Kusini, mkoani Kigoma kuchagua viongozi wanaowajibika.

 
Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amezungumza kwa msisitizo kuhusu mapambano ya chama hicho kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa unafanyika kwa haki, huku akiwataka wananchi wa kijiji cha Ilalanguru, Jimbo la Kigoma Kusini, mkoani Kigoma kuchagua viongozi wanaowajibika.

ni ujinga wa kiwango cha lami hata wakipiga kura ya hapana za ndiyo zitawapa ushindi bora waache tu mnajisumbua bure
 
Back
Top Bottom