Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

Sasa broo Pascal we unavyoona kuna mpinzani kweli wakuidai haki kwa zama hz? Wakiandama unajua watakachokipata huyu baba aliyepo hatanii.Na sijaona mpinzani wa kweli hata huyo Zitto anajisemea tuu kwenye mitandao.
 
Sasa broo Pascal we unavyoona kuna mpinzani kweli wakuidai haki kwa zama hz? Wakiandama unajua watakachokipata huyu baba aliyepo hatanii.Na sijaona mpinzani wa kweli hata huyo Zitto anajisemea tuu kwenye mitandao.
Haki haidaiwi kwa maandamano bali kwa mikakati.
Tanzania hatuna upinzani wowote wa maana.
Rejea

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…