Zitto Kabwe live leo EATV kipindi cha mikasi

Zitto Kabwe live leo EATV kipindi cha mikasi

Hivi huyu demu Salima sijui Salama anaweza akauliza swali kama hili ULIKUWA UNAHUSISHWA NA HIKI CHAMA CHA A.C.T KABLA HUJAONDOKA/HAUJAFUKUZWA CHADEMA NA KWELI ULIPOONDOKA TU UKAENDA KILE CHAMA ULICHOHUSISHWA NACHO KABLA NA INATUFANYA TUAMINI NI KWELI ULIANZISHA CHAMA NDANI YA CHAMA WE UNASEMAJE KUHUSU HILI ??????
 
Nasubiri kusikia mkasi wa leo na zzk.
 
kipindi hakina maadili mru mpaka ubaulizwa mara ya mwisho ulifanya ngono lini.

Ina maana kafulia namna hyo mpaka anaenda kwenye vipindi vya hovyo hovyo?

Mkasi sio kipindi cha hovyo nyau Wewe

Tundu lisu, polepole, Makamba wote wamepita hapo
Hao jamaa wameshikwa pabaya mwaka huu! Kwakuwa enaonda Zitto kimekuwa cha ovyo sio! Tulieni mpate Dozzi ya pili, tuliwaambia hamuwezi mfukuza Zitto mkabaki salama hamkusia.
ACT
 
Hivi huyu demu Salima sijui Salama anaweza akauliza swali kama hili ULIKUWA UNAHUSISHWA NA HIKI CHAMA CHA A.C.T KABLA HUJAONDOKA/HAUJAFUKUZWA CHADEMA NA KWELI ULIPOONDOKA TU UKAENDA KILE CHAMA ULICHOHUSISHWA NACHO KABLA NA INATUFANYA TUAMINI NI KWELI ULIANZISHA CHAMA NDANI YA CHAMA WE UNASEMAJE KUHUSU HILI ??????



hivi umeambiwa kuwa hiki kipindi ni marudio mbona huelewi?
 
Hana jipya... Atabaki kuwa msaliti tyuuu..!!
 
Li MKASI lenyewe ni Marudio sujui ya Mwaka gani huu!!

Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom