Zitto Kabwe: Mimi na Halima Mdee tumetoka mbali sana hata fomu za kugombea Ubunge mimi ndiye nilimjazia mara ya kwanza!

Zitto Kabwe: Mimi na Halima Mdee tumetoka mbali sana hata fomu za kugombea Ubunge mimi ndiye nilimjazia mara ya kwanza!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema yeye na Halima Mdee wametoka mbali sana na hata tofauti za kisiasa haziwezi kuvuruga mahusiano yao kama kaka na dada

Zitto Kabwe anasema yeye ndiye alimjazia fomu za kuomba Ubunge Halima Mdee kwa mara ya kwanza na ni yeye ndiye aliyempa taarifa kwamba Umeteuliwa kuwa Mbunge

Kwaresma njema!
 
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema yeye na Halima Mdee wametoka mbali sana na hata tofauti za kisiasa haziwezi kuvuruga mahusiano yao kama kaka na dada

Zitto Kabwe anasema yeye ndiye alimjazia fomu za kuomba Ubunge Halima Mdee kwa mara ya kwanza na ni yeye ndiye aliyempa taarifa kwamba Umeteuliwa kuwa Mbunge

Kwaresma njema!
Zito ana mambo ya kitoto sana.
 
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema yeye na Halima Mdee wametoka mbali sana na hata tofauti za kisiasa haziwezi kuvuruga mahusiano yao kama kaka na dada

Zitto Kabwe anasema yeye ndiye alimjazia fomu za kuomba Ubunge Halima Mdee kwa mara ya kwanza na ni yeye ndiye aliyempa taarifa kwamba Umeteuliwa kuwa Mbunge

Kwaresma njema!
Sawa fungate limeanza!
JamiiForums-454747627.jpg
 
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema yeye na Halima Mdee wametoka mbali sana na hata tofauti za kisiasa haziwezi kuvuruga mahusiano yao kama kaka na dada

Zitto Kabwe anasema yeye ndiye alimjazia fomu za kuomba Ubunge Halima Mdee kwa mara ya kwanza na ni yeye ndiye aliyempa taarifa kwamba Umeteuliwa kuwa Mbunge

Kwaresma njema!
Hapo Udini ndio silaha ya zitto

USSR
 
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema yeye na Halima Mdee wametoka mbali sana na hata tofauti za kisiasa haziwezi kuvuruga mahusiano yao kama kaka na dada

Zitto Kabwe anasema yeye ndiye alimjazia fomu za kuomba Ubunge Halima Mdee kwa mara ya kwanza na ni yeye ndiye aliyempa taarifa kwamba Umeteuliwa kuwa Mbunge

Kwaresma njema!
Form ya ubunge huu wa covid 19 maana viongozi wa Chadema wamekana kupitisha hizo form
 
It's none issue to us,
Na nyie mtapita tu kama Sinta,wema sepetu,kanumba,Amina chifupa,Kanda bongo man,
Mmezidi makelele
 
Back
Top Bottom