Zitto Kabwe: Mimi na Halima Mdee tumetoka mbali sana hata fomu za kugombea Ubunge mimi ndiye nilimjazia mara ya kwanza!

Zitto Kabwe: Mimi na Halima Mdee tumetoka mbali sana hata fomu za kugombea Ubunge mimi ndiye nilimjazia mara ya kwanza!

Ilikuwa fomu ya ubunge wa Marekani nini? Maana hilo ndio sio jambo dogo.
Kwahiyo ni kawaida hapo Chadema kujaziana fomu?

Sasa mbona mlijifanya kuhoji Nusrat Hanje alijazaje fomu!!😂
 
Kama ndio ukweli wenyewe wacha usemwe, walikuwa Chadema wote pamoja wakileana kama kaka na dada.
 
Covid-19 watapigwa chini kiaina KWA kukosa sifa za kuendelea kuwa WABUNGE KWA kuhamia ACT wazalendo na gap lao litazibwa na wateule wapya KUTOKEA CCM!

Ndipo hoja ya Bunge la chama kimoja itatamalaki na marekebisho ya katiba yataanza kusikika Bungeni Rasmi!!!

KIMBILIO la covid-19 ni ACT wazalendo!!

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu niipendayo Sana kwakweli!!
 
Covid-19 watapigwa chini kiaina KWA kukosa sifa za kuendelea kuwa WABUNGE KWA kuhamia ACT wazalendo na gap lao litazibwa na wateule wapya KUTOKEA CCM!

Ndipo hoja ya Bunge la chama kimoja itatamalaki na marekebisho ya katiba yataanza kusikika Bungeni Rasmi!!!

KIMBILIO la covid-19 ni ACT wazalendo!!

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu niipendayo Sana kwakweli!!
Nadhani makubaliano yameshafikiwa Ndio sababu Covid-19 wameamua kuhamia ACT Wazalendo
 
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema yeye na Halima Mdee wametoka mbali sana na hata tofauti za kisiasa haziwezi kuvuruga mahusiano yao kama kaka na dada

Zitto Kabwe anasema yeye ndiye alimjazia fomu za kuomba Ubunge Halima Mdee kwa mara ya kwanza na ni yeye ndiye aliyempa taarifa kwamba Umeteuliwa kuwa Mbunge

Kwaresma njema!
Nchi ina mamb ya hovyo wapinzani uchwara wana mambo ya hovyo hovyo tu!!
 
..Halima Mdee ni mjenga hoja mzuri, sidhani kama hata Dakta.Samia anaweza kupambana naye.

..Ccm watu wanabebwa tu na mfumo lakini hawana vipaji au uwezo.
 
Back
Top Bottom