FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Kwa yanayotokea CDM hakika zitto anaijua SIASA na demokrasia sintoshangaa kama siku moja kitengo kitaamua kumpa nchi maana ameonyesha ni mwana demokrasia sana
Note: Ni mstaafu wa Chama chake Cha ACT na amewaachia wengine uongozi.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura
Mbowe ameendelea kung'ang'ania madaraka Kwa miaka 20 ivi unazani ni Kuna demokrasia kweli ndani chadema iyo wanayo ihubiri?
ACT ni chama kizuri sana, hongera Zitto, naliona anguko la CHADEMA kama CUF, NCCR, TLP.
Note: Ni mstaafu wa Chama chake Cha ACT na amewaachia wengine uongozi.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura
Mbowe ameendelea kung'ang'ania madaraka Kwa miaka 20 ivi unazani ni Kuna demokrasia kweli ndani chadema iyo wanayo ihubiri?
ACT ni chama kizuri sana, hongera Zitto, naliona anguko la CHADEMA kama CUF, NCCR, TLP.