Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wanashida gani wana mafao lumumba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Najikumbusha tu jinsi vijana hawa wawili siasani Zitto Kabwe na Cecil Mwambe walivyoondoka Chadema katika mwaka wa uchaguzi na kusamehe mafao yao baada ya kujiuzulu ubunge.
Yataka moyo mkuu kufikia maamuzi kama haya.
Maendeleo hayana vyama!
Sent using Jamii Forums mobile app