Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Ukiwa kiongozi mkuu wa nchi unakuwa "public property" milele. Unaingia katika mitaala ya jamii. Wanafunzi wanasoma habari zako kama sehemu ya masomo yao. Kina Shaka, Mansa Musa, George Washington, Otto von Bismark, Mangungo wa Msowero, n.k. wanajadiliwa hadi leo. Hawana anasa ya mapumziko si mbinguni wala kuzimu.

Tatizo, hao uliwaotaja hawastahili kumkosoa Magufuli. They are unabashed opportunists with very shaky credibility statures.
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Nani kampeleka mbinguni?CCM hii haipeleki watu mbinguni.
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Zitto ni mdau wa akina mary Kejo
 
Una uhakika yuko mbinguni?
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
 
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.

Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Imani potofu. Biblia inasema baada ya kifo kinachofuata ni hukumu tu.
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Zitu aliwahi kumwomba Kikwete amsaidie kuwa mwenyekiti wa kamati fulani ya Bunge (nadhan PAC), Kamata aliteuliwa na kuwa mbunge wa viti maalum kwa kutumia presha kutoka kwa Kikwete. Kwa vile Magufuli hakuwapendelea kama ilivyokuwa utawala wa Kikwete, ni lazima wawe na hasira naye na ni haki yao.
 
Vicky Kamata huyu huyu aliyekuwa akipokea mshahara wa bure bila kufanya kazi BOT?! Au Zitto Kabwe mnafiki na kikaragosi wa mabeberu?!
Kweli usirushe mawe kwenye nyumba ya glass wakati nawe waishi kwenye nyumba kama hiyo..
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Umelazimishwa kuwasikiliza? 🙄
 
Njia ile ni nyembamba iendayooo mbinguni
Repeat chorus.
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Mkuu, yaani unamchukulia Vicky Kamata serious, kweli? Yule demu kwanza hajitambui, hapo anaongea kwa machungu tu kwa kuwa hana jinsi maana mtu wa kumpetipeti serikalini hayupo tena.
 
Waendelee kutafutwa kina Ben Saanane na Azory Gwanda
Tujifunze kusamehe na kuachilia sioni haja ya kuendelea kumkandia mtu ambaye hawezi kujitetea,kama tuliweza kukaa kimya kipindi yuko hai basi na sasa tunaweza kukaa kimya na maisha yakaendelea,tuwe na ubinadamu hata kidogo
 
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.

Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Acha stori za gahawa yule marehemu Sasa hivi ndio kawa jiwe kamili na zile sindano walizompiga ili asioze kwenye jua la dar Zanzibar Dom na mwanza sijui atakuwa mweusi Kama kabon.
 
Back
Top Bottom