Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Mkuu hiyo sijaipataHivi,walisema kwamba naye aligombea shoga.Ni kweli?
Ni wanafiki tu maana kwao kila mahala ni siasa tuHivi mbaendaga Kanisani kufanya nini nyingi!?
Kazi gani sasa mnayofanya?Acheni uongo! Maraboook!Hapa kazi tu hakuna kupumzika💪
Huyo Vick afukuzwe chama. Msaliti na anamsemea mtu ambaye anajulikana. Hafai kabisa huyo KamataHii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Kazi imeishia njia pandaHapa kazi tu hakuna kupumzika[emoji123]
Hiyo ndiyo kawaida yenu kuwaogopa wanao sema ukweli.Huyo Vick afukuzwe chama. Msaliti na anamsemea mtu ambaye anajulikana. Hafai kabisa huyo Kamata
Hebu nioneshe hiki ulichokisema kimeandikwa wapi ktk biblia takatifu, usilete vijitabu Vya kitapeli Vya mitaani tafadhaliUkipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Atakayevumilia hadi " mwisho" ndiye atakayeokoka by Yesu Kristo!Hebu nioneshe hiki ulichokisema kimeandikwa wapi ktk biblia takatifu, usilete vijitabu Vya kitapeli Vya mitaani tafadhali
Hivi hawa watu wako hai au walishakufa?Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Katili kama yule awe mbinguni?!Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Mbingu gani ?Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Dhambi zote zaweza kusamehewa lakini kumkashfu Roho Mtakatifu, La!Ukitubu dhambi zako wewe mwenyewe kabla hujatwaliwa unakwenda mbinguni.
Tubuni dhambi zenu mpate kuurithi ufalme wa mbinguni!
Hao wako kuzimu!Hivi hawa watu wako hai au walishakufa?
1.Hitler
2.Iddi Amin
3.Bokassa
4.Mobutu????
Braza K alimaliza Kila kitu.Waovu akina Hitler, Bokassa Idi Amin etc wanatajwa hadi hii leo na wataendelea kutajwa kwa miaka mingi sana ijayo. Kwani huyo dhalimu mwendazake ana umuhimu gani mpaka asitajwe? [emoji15][emoji15][emoji15]