Zitto Kabwe ni genius apewe heshima yake, ninyi Ufipa mtujibu kwanza maswali yetu haya

Zitto Kabwe ni genius apewe heshima yake, ninyi Ufipa mtujibu kwanza maswali yetu haya

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
zitto kabwe ni mwanaume kwelikweli .anahimili vishindo vyote ! Amepitia majaribio mengi ya hatari lakini hutamuona amepanikii !Pale mnaposema tumemmaliza mnajaribu kuweka sherehe mtakuta asubuhi yupo ! Anazijua siasa za ushindani ,Hana mihemuko Anaimalisha chama chake kimkakati.jembe analovuta halimfanyi alaumu wengine ,Hana matusi! Ni muungwana !! Wenzetu wa ufipa wako pale pale kwenye siasa zisizo badilika za matusi kashfa na kejeli. Wanamuangalia zito kama msalitii. Kila jambo analofanya kwao ni mapovu tu! Hawamtaki na hawampendi hata kumuona! Hawataki astawi !

Wale jamaa wangekuwa wanatoa pumzi basi ya zitto wangeisitisha! Labda wangetamani mabaya yamkute lakini mungu sio mwanadamu.

Jamaa wa ufipa walishawahi kuongoza Kambi rasmi ya upinzani Bungeni! Waliwahi kufikisha wabunge 100 na zaidi bungeni , walikuwa wanapata ruzuku isiyopungua m 200 Kwa mwezi wakati huo zitto na chama chake walikuwa na mbunge mmoja tu yaani Zitto mwenyewe .

Lakini mpaka Leo chama Chao hakina aseti yoyote! Wala kitega uchumi chochote! Hawana hata Costa ya kubeba wanachama!

Ufipa walipokuwa na nguvu walipata wadhamini wengi wa ndani na nje ya nchi wao waliwekeza kwenye anasa na mbwembwe Mahali pa kwenda Kwa gari wanaenda Kwa helkopta.

Sidhani kama wanamiliki hata kipande Cha ardhi popote tz. CCM ukongwe wao unaongozwa na utajiri wao hata wakitoka madarakani Leo wanavitega uchumi lukuki hawatateteleka ,wanamajengo ya kupangisha ,Wana ofisi Kila mkoa na wilaya ,Wana ardhi Kila mkoa Wana shule na vyuo. Ufipa hawapendi kuambiwa ukweli kwamba zama zenu zimekwisha !!

Hawana jengo lolote iwe la bawacha ,bavicha au chama Kwa ujumla wake! Walipata ufadhili wa pick up nyingi sana na pesa kibao Leo zile pick up haijulikani zimepaki wapi ! Kama wangewekeza Kwa kujenga vitega uchumi vya chama Leo wasingekuwa wanapambania ruzuku ya wabunge 19 mahakamani !

Ukubwa wa chama chochote ni vitega uchumi endelevu .Leo mnashinda humu kumtukana zitto wa juzi hapa na tayari Wana ofisi ya maana kabisa.

Nafsi haziwasuti hata kidogo siku nyingine mkipata wafadhili mpunguze anasa jengeni vitega uchumi ,msipofanya hivyo mtaendelea kuwachukia akina zitto Kwa kuwaita CCM B ! Wakati mlipewa nafasi mmeichezea.

Na wadhamini mtawezaje kuwashawishi tena ? Mtujibu maswali yetu sio kutukana Kila mtu haya karibuni Kwa mitusi yenu!!
 
zitto kabwe ni mwanaume kwelikweli .anahimili vishindo vyote ! Amepitia majaribio mengi ya hatari lakini hutamuona amepanikii !Pale mnaposema tumemmaliza mnajaribu kuweka sherehe mtakuta asubuhi yupo ! Anazijua siasa za ushindani ,Hana mihemuko Anaimalisha chama chake kimkakati.jembe analovuta halimfanyi alaumu wengine ,Hana matusi! Ni muungwana !! Wenzetu wa ufipa wako pale pale kwenye siasa zisizo badilika za matusi kashfa na kejeli. Wanamuangalia zito kama msalitii. Kila jambo analofanya kwao ni mapovu tu! Hawamtaki na hawampendi hata kumuona! Hawataki astawi !

Wale jamaa wangekuwa wanatoa pumzi basi ya zitto wangeisitisha! Labda wangetamani mabaya yamkute lakini mungu sio mwanadamu.

Jamaa wa ufipa walishawahi kuongoza Kambi rasmi ya upinzani Bungeni! Waliwahi kufikisha wabunge 100 na zaidi bungeni , walikuwa wanapata ruzuku isiyopungua m 200 Kwa mwezi wakati huo zitto na chama chake walikuwa na mbunge mmoja tu yaani Zitto mwenyewe .

Lakini mpaka Leo chama Chao hakina aseti yoyote! Wala kitega uchumi chochote! Hawana hata Costa ya kubeba wanachama!

Ufipa walipokuwa na nguvu walipata wadhamini wengi wa ndani na nje ya nchi wao waliwekeza kwenye anasa na mbwembwe Mahali pa kwenda Kwa gari wanaenda Kwa helkopta.

Sidhani kama wanamiliki hata kipande Cha ardhi popote tz. CCM ukongwe wao unaongozwa na utajiri wao hata wakitoka madarakani Leo wanavitega uchumi lukuki hawatateteleka ,wanamajengo ya kupangisha ,Wana ofisi Kila mkoa na wilaya ,Wana ardhi Kila mkoa Wana shule na vyuo. Ufipa hawapendi kuambiwa ukweli kwamba zama zenu zimekwisha !!

Hawana jengo lolote iwe la bawacha ,bavicha au chama Kwa ujumla wake! Walipata ufadhili wa pick up nyingi sana na pesa kibao Leo zile pick up haijulikani zimepaki wapi ! Kama wangewekeza Kwa kujenga vitega uchumi vya chama Leo wasingekuwa wanapambania ruzuku ya wabunge 19 mahakamani !

Ukubwa wa chama chochote ni vitega uchumi endelevu .Leo mnashinda humu kumtukana zitto wa juzi hapa na tayari Wana ofisi ya maana kabisa.

Nafsi haziwasuti hata kidogo siku nyingine mkipata wafadhili mpunguze anasa jengeni vitega uchumi ,msipofanya hivyo mtaendelea kuwachukia akina zitto Kwa kuwaita CCM B ! Wakati mlipewa nafasi mmeichezea.

Na wadhamini mtawezaje kuwashawishi tena ? Mtujibu maswali yetu sio kutukana Kila mtu haya karibuni Kwa mitusi yenu!!
umeshamaliza kunyonya ?
 
Sijui mtoa mada anazungumzia nini? Kufanikiwa kwa Zitto je ni lazima CHADEMA wahusishwe? Semeni Zitto ni kiongozi mzuri, bora na agent wa serikali, semeni yote mpeni sifa kiache chama cha CHADEMA peke yake. Fanyeni yenu msitafute kiki kwa chama chenu jilinganisheni na CCM kwani mpo camp moja.
 
Nachelea kusema kwamba CDM ni chama Cha kipekee Sana ndani ya nchi hii yaani kunaweza tokea jambo vyama vingi vikashiriki ila isipo kuwepo cdm inakuwa noma mataga Wana changanikiwa

Mungu ibariki CDM na viongozi wake
 
Zitto akilemewa hukimbilia Kigoma. Akifika akitoka huko huchimba mikwara ambayo mtu yoyote hawezi himili. If you don gerit foger abourit...
 
Huyu ndio zzk
this-is-the-secret-behind-the-success-of-many-people-41081948.jpeg
 
Nimeacha kuzungumzia mavyama haya bada kugundua wote ccm na chadema tunapigwa tozo sawa
 
"Nashauri tuwe na siku pekee ya kitaifa kuadhimisha Zitto the genius!! Iwe sikukuu kama sikukuu nyingine!!"

Alisikika mwehu mmoja akipayukapayuka hayo hapo juu!!
 
Tittle yako haihusiani na contents inaonyesha una Chuki binafsi na CHADEMA.

Ni vema zaidi ACT mkajenga Chama chenu. Pia CCM Haina vitenga Uchumi Viwanja vyote walijimilikisha kutoka kwa Umma sio vya kwao. Naona wewe ni Wakala wa Uongo wa CCM. Ndio maana watu wengi wana kihusisha ACT na CCM
 
Zitto Kabwe ni Opportunist. Muda wote huwa ame vizia maslahi yake. Usifanye siasa na Zitto lazima akuuze tu.
 
zitto kabwe ni mwanaume kwelikweli .anahimili vishindo vyote ! Amepitia majaribio mengi ya hatari lakini hutamuona amepanikii !Pale mnaposema tumemmaliza mnajaribu kuweka sherehe mtakuta asubuhi yupo ! Anazijua siasa za ushindani ,Hana mihemuko Anaimalisha chama chake kimkakati.jembe analovuta halimfanyi alaumu wengine ,Hana matusi! Ni muungwana !! Wenzetu wa ufipa wako pale pale kwenye siasa zisizo badilika za matusi kashfa na kejeli. Wanamuangalia zito kama msalitii. Kila jambo analofanya kwao ni mapovu tu! Hawamtaki na hawampendi hata kumuona! Hawataki astawi !

Wale jamaa wangekuwa wanatoa pumzi basi ya zitto wangeisitisha! Labda wangetamani mabaya yamkute lakini mungu sio mwanadamu.

Jamaa wa ufipa walishawahi kuongoza Kambi rasmi ya upinzani Bungeni! Waliwahi kufikisha wabunge 100 na zaidi bungeni , walikuwa wanapata ruzuku isiyopungua m 200 Kwa mwezi wakati huo zitto na chama chake walikuwa na mbunge mmoja tu yaani Zitto mwenyewe .

Lakini mpaka Leo chama Chao hakina aseti yoyote! Wala kitega uchumi chochote! Hawana hata Costa ya kubeba wanachama!

Ufipa walipokuwa na nguvu walipata wadhamini wengi wa ndani na nje ya nchi wao waliwekeza kwenye anasa na mbwembwe Mahali pa kwenda Kwa gari wanaenda Kwa helkopta.

Sidhani kama wanamiliki hata kipande Cha ardhi popote tz. CCM ukongwe wao unaongozwa na utajiri wao hata wakitoka madarakani Leo wanavitega uchumi lukuki hawatateteleka ,wanamajengo ya kupangisha ,Wana ofisi Kila mkoa na wilaya ,Wana ardhi Kila mkoa Wana shule na vyuo. Ufipa hawapendi kuambiwa ukweli kwamba zama zenu zimekwisha !!

Hawana jengo lolote iwe la bawacha ,bavicha au chama Kwa ujumla wake! Walipata ufadhili wa pick up nyingi sana na pesa kibao Leo zile pick up haijulikani zimepaki wapi ! Kama wangewekeza Kwa kujenga vitega uchumi vya chama Leo wasingekuwa wanapambania ruzuku ya wabunge 19 mahakamani !

Ukubwa wa chama chochote ni vitega uchumi endelevu .Leo mnashinda humu kumtukana zitto wa juzi hapa na tayari Wana ofisi ya maana kabisa.

Nafsi haziwasuti hata kidogo siku nyingine mkipata wafadhili mpunguze anasa jengeni vitega uchumi ,msipofanya hivyo mtaendelea kuwachukia akina zitto Kwa kuwaita CCM B ! Wakati mlipewa nafasi mmeichezea.

Na wadhamini mtawezaje kuwashawishi tena ? Mtujibu maswali yetu sio kutukana Kila mtu haya karibuni Kwa mitusi yenu!!
Msaliti huwa hahuzuniki akiguswa vibaya! atacheka lakini nyuma ya pazia anapanga uharamia mchafu. ZZK ? Trust me siku nyingine nitakuambia anajua mipango ya kumpoteza Ben saa8. A dangerous SNITCh to have around ZZK
 
zitto kabwe ni mwanaume kwelikweli .anahimili vishindo vyote ! Amepitia majaribio mengi ya hatari lakini hutamuona amepanikii !Pale mnaposema tumemmaliza mnajaribu kuweka sherehe mtakuta asubuhi yupo ! Anazijua siasa za ushindani ,Hana mihemuko Anaimalisha chama chake kimkakati.jembe analovuta halimfanyi alaumu wengine ,Hana matusi! Ni muungwana !! Wenzetu wa ufipa wako pale pale kwenye siasa zisizo badilika za matusi kashfa na kejeli. Wanamuangalia zito kama msalitii. Kila jambo analofanya kwao ni mapovu tu! Hawamtaki na hawampendi hata kumuona! Hawataki astawi !

Wale jamaa wangekuwa wanatoa pumzi basi ya zitto wangeisitisha! Labda wangetamani mabaya yamkute lakini mungu sio mwanadamu.

Jamaa wa ufipa walishawahi kuongoza Kambi rasmi ya upinzani Bungeni! Waliwahi kufikisha wabunge 100 na zaidi bungeni , walikuwa wanapata ruzuku isiyopungua m 200 Kwa mwezi wakati huo zitto na chama chake walikuwa na mbunge mmoja tu yaani Zitto mwenyewe .

Lakini mpaka Leo chama Chao hakina aseti yoyote! Wala kitega uchumi chochote! Hawana hata Costa ya kubeba wanachama!

Ufipa walipokuwa na nguvu walipata wadhamini wengi wa ndani na nje ya nchi wao waliwekeza kwenye anasa na mbwembwe Mahali pa kwenda Kwa gari wanaenda Kwa helkopta.

Sidhani kama wanamiliki hata kipande Cha ardhi popote tz. CCM ukongwe wao unaongozwa na utajiri wao hata wakitoka madarakani Leo wanavitega uchumi lukuki hawatateteleka ,wanamajengo ya kupangisha ,Wana ofisi Kila mkoa na wilaya ,Wana ardhi Kila mkoa Wana shule na vyuo. Ufipa hawapendi kuambiwa ukweli kwamba zama zenu zimekwisha !!

Hawana jengo lolote iwe la bawacha ,bavicha au chama Kwa ujumla wake! Walipata ufadhili wa pick up nyingi sana na pesa kibao Leo zile pick up haijulikani zimepaki wapi ! Kama wangewekeza Kwa kujenga vitega uchumi vya chama Leo wasingekuwa wanapambania ruzuku ya wabunge 19 mahakamani !

Ukubwa wa chama chochote ni vitega uchumi endelevu .Leo mnashinda humu kumtukana zitto wa juzi hapa na tayari Wana ofisi ya maana kabisa.

Nafsi haziwasuti hata kidogo siku nyingine mkipata wafadhili mpunguze anasa jengeni vitega uchumi ,msipofanya hivyo mtaendelea kuwachukia akina zitto Kwa kuwaita CCM B ! Wakati mlipewa nafasi mmeichezea.

Na wadhamini mtawezaje kuwashawishi tena ? Mtujibu maswali yetu sio kutukana Kila mtu haya karibuni Kwa mitusi yenu!!
Chadema Ni wababaishaji tu na Sasa watanzania wameshawagundua ubabaishaji wao ndio sababu unaona namna walivyopuuzwa na watanzania, jaribu kufikiria mamilioni ya Ruzuku waliyokuwa wanapokea na michango ya wabunge wake hapo bado hujaweka hela za akina Sabodo lakini Cha ajabu Ni kuwa Wameishia kuzitafuna zoteee Kama mchwa bila kuacha hata alama au chenji

Jiulize hela za join the chain zipo wapi? Bila Shaka nazo wamezitafuna bila huruma Kama kawaida yao. Ukiwauliza mbona hamjengi hata ofisi ya chumba kimoja utasikia sisi tunajenga ofisi zetu kwenye mioyo ya watanzania, Sasa sijuwi walitaka watanzania wawe wanakwenda kupeleka kero zao kwenye mioyo yao? Ndio maana watanzania hawana habari nao Wala muda wa kuwasikiliza blaa blaa zao
 
Nakubaliana kuhusu Zitto ila napinga kuhusu vitegauchumi vya ccm 98% ni mali ya umma maana vilijengwa na wananchi kama zilivyojengwa shule za kata....kama kuna chochote kilichojengwa baada ya 1992 ndio chao

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
zitto kabwe ni mwanaume kwelikweli .anahimili vishindo vyote ! Amepitia majaribio mengi ya hatari lakini hutamuona amepanikii !Pale mnaposema tumemmaliza mnajaribu kuweka sherehe mtakuta asubuhi yupo ! Anazijua siasa za ushindani ,Hana mihemuko Anaimalisha chama chake kimkakati.jembe analovuta halimfanyi alaumu wengine ,Hana matusi! Ni muungwana !! Wenzetu wa ufipa wako pale pale kwenye siasa zisizo badilika za matusi kashfa na kejeli. Wanamuangalia zito kama msalitii. Kila jambo analofanya kwao ni mapovu tu! Hawamtaki na hawampendi hata kumuona! Hawataki astawi !

Wale jamaa wangekuwa wanatoa pumzi basi ya zitto wangeisitisha! Labda wangetamani mabaya yamkute lakini mungu sio mwanadamu.

Jamaa wa ufipa walishawahi kuongoza Kambi rasmi ya upinzani Bungeni! Waliwahi kufikisha wabunge 100 na zaidi bungeni , walikuwa wanapata ruzuku isiyopungua m 200 Kwa mwezi wakati huo zitto na chama chake walikuwa na mbunge mmoja tu yaani Zitto mwenyewe .

Lakini mpaka Leo chama Chao hakina aseti yoyote! Wala kitega uchumi chochote! Hawana hata Costa ya kubeba wanachama!

Ufipa walipokuwa na nguvu walipata wadhamini wengi wa ndani na nje ya nchi wao waliwekeza kwenye anasa na mbwembwe Mahali pa kwenda Kwa gari wanaenda Kwa helkopta.

Sidhani kama wanamiliki hata kipande Cha ardhi popote tz. CCM ukongwe wao unaongozwa na utajiri wao hata wakitoka madarakani Leo wanavitega uchumi lukuki hawatateteleka ,wanamajengo ya kupangisha ,Wana ofisi Kila mkoa na wilaya ,Wana ardhi Kila mkoa Wana shule na vyuo. Ufipa hawapendi kuambiwa ukweli kwamba zama zenu zimekwisha !!

Hawana jengo lolote iwe la bawacha ,bavicha au chama Kwa ujumla wake! Walipata ufadhili wa pick up nyingi sana na pesa kibao Leo zile pick up haijulikani zimepaki wapi ! Kama wangewekeza Kwa kujenga vitega uchumi vya chama Leo wasingekuwa wanapambania ruzuku ya wabunge 19 mahakamani !

Ukubwa wa chama chochote ni vitega uchumi endelevu .Leo mnashinda humu kumtukana zitto wa juzi hapa na tayari Wana ofisi ya maana kabisa.

Nafsi haziwasuti hata kidogo siku nyingine mkipata wafadhili mpunguze anasa jengeni vitega uchumi ,msipofanya hivyo mtaendelea kuwachukia akina zitto Kwa kuwaita CCM B ! Wakati mlipewa nafasi mmeichezea.

Na wadhamini mtawezaje kuwashawishi tena ? Mtujibu maswali yetu sio kutukana Kila mtu haya karibuni Kwa mitusi yenu!!
ACT MAENDELEO ni MALI ya CCM na huyo Zitto wako ni Wakala wao
 
zitto kabwe ni mwanaume kwelikweli .anahimili vishindo vyote ! Amepitia majaribio mengi ya hatari lakini hutamuona amepanikii !Pale mnaposema tumemmaliza mnajaribu kuweka sherehe mtakuta asubuhi yupo ! Anazijua siasa za ushindani ,Hana mihemuko Anaimalisha chama chake kimkakati.jembe analovuta halimfanyi alaumu wengine ,Hana matusi! Ni muungwana !! Wenzetu wa ufipa wako pale pale kwenye siasa zisizo badilika za matusi kashfa na kejeli. Wanamuangalia zito kama msalitii. Kila jambo analofanya kwao ni mapovu tu! Hawamtaki na hawampendi hata kumuona! Hawataki astawi !

Wale jamaa wangekuwa wanatoa pumzi basi ya zitto wangeisitisha! Labda wangetamani mabaya yamkute lakini mungu sio mwanadamu.

Jamaa wa ufipa walishawahi kuongoza Kambi rasmi ya upinzani Bungeni! Waliwahi kufikisha wabunge 100 na zaidi bungeni , walikuwa wanapata ruzuku isiyopungua m 200 Kwa mwezi wakati huo zitto na chama chake walikuwa na mbunge mmoja tu yaani Zitto mwenyewe .

Lakini mpaka Leo chama Chao hakina aseti yoyote! Wala kitega uchumi chochote! Hawana hata Costa ya kubeba wanachama!

Ufipa walipokuwa na nguvu walipata wadhamini wengi wa ndani na nje ya nchi wao waliwekeza kwenye anasa na mbwembwe Mahali pa kwenda Kwa gari wanaenda Kwa helkopta.

Sidhani kama wanamiliki hata kipande Cha ardhi popote tz. CCM ukongwe wao unaongozwa na utajiri wao hata wakitoka madarakani Leo wanavitega uchumi lukuki hawatateteleka ,wanamajengo ya kupangisha ,Wana ofisi Kila mkoa na wilaya ,Wana ardhi Kila mkoa Wana shule na vyuo. Ufipa hawapendi kuambiwa ukweli kwamba zama zenu zimekwisha !!

Hawana jengo lolote iwe la bawacha ,bavicha au chama Kwa ujumla wake! Walipata ufadhili wa pick up nyingi sana na pesa kibao Leo zile pick up haijulikani zimepaki wapi ! Kama wangewekeza Kwa kujenga vitega uchumi vya chama Leo wasingekuwa wanapambania ruzuku ya wabunge 19 mahakamani !

Ukubwa wa chama chochote ni vitega uchumi endelevu .Leo mnashinda humu kumtukana zitto wa juzi hapa na tayari Wana ofisi ya maana kabisa.

Nafsi haziwasuti hata kidogo siku nyingine mkipata wafadhili mpunguze anasa jengeni vitega uchumi ,msipofanya hivyo mtaendelea kuwachukia akina zitto Kwa kuwaita CCM B ! Wakati mlipewa nafasi mmeichezea.

Na wadhamini mtawezaje kuwashawishi tena ? Mtujibu maswali yetu sio kutukana Kila mtu haya karibuni Kwa mitusi yenu!!
What the FVCK is this aisee?
 
Machadema ni ugonjwa mbaya zaidi ya corona/ebola
 
Back
Top Bottom