Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Mfalme wa kwanza wa Israeli hakuwekwa na Mungu ndiyo maana walipata taabu sanaUjue Serikali ina mikono mirefu. Inapomkamata mtu lazima ijiridhishe kweli kweli. Acheni kabisa kuleta dharau kwa Serikali. Kila Mamlaka imewekwa na Mungu.
Dawa ya mtoto mtukutu ni kumchapa' huyu kwann hachapwi?Hahaha utoto pure, attention seeking!
Christmass Eve naanzia wapi kulala ?
Hupaswi kumpongeza,unapaswa kuntia shime afanye kosa litakalomtia hatiani aone kama hatakamatwaMh @Zitto, tunakupongeza na kukutia moyo kwa kuwa this much daring dhidi ya watesi wa raia wasio na hatia yoyote.
Hivi ni kweli Serikali ya Awamu hii inamuogopa Mh Zitto Zubberi Kabwe !!?.
Kuna jambo gani nyuma ya Pazia !?
Na siku ya Christmas kuna mtu ataenda kushiriki ekaristi takatifu huku akijua yeye ni sadist.
Ilinibidi nicheke tuMobutu Magufuli Seseseko kuku wa Zabanga wa Tanganyika
nina uhakika wa 100% hujaielewa thread..... umekurupuka!Hupaswi kumpongeza,unapaswa kuntia shime afanye kosa litakalomtia hatiani aone kama hatakamatwa
Zitto ni mwanasiasa muoga sana na dhaifu,anawatumia watu kufika malengo yake huku yeye amejificha na kuwaacha wakitaabika
Halafu anasema njooni mnikamate,akukamate nani wakati hujaingia kwenye 18?Fanya kosa tu dogo uone kama utaogopwa au la
Mobutu Magufuli Seseseko Kuku wa ChatoMobutu Magufuli Seseseko kuku wa Zabanga wa Tanganyika
Zitto huwa hashiriki Ekarist kamanda.Na siku ya Christmas kuna mtu ataenda kushiriki ekaristi takatifu huku akijua yeye ni sadist.
Acha pumba bsi na wew kwaiyo ata wakina kagame wamewekwa n munguUjue Serikali ina mikono mirefu. Inapomkamata mtu lazima ijiridhishe kweli kweli. Acheni kabisa kuleta dharau kwa Serikali. Kila Mamlaka imewekwa na Mungu.
Hivi ni kweli Serikali ya Awamu hii inamuogopa Mh Zitto Zubberi Kabwe !!?.
Kuna jambo gani nyuma ya Pazia !?
Kwanza heshima yako."----'you don,t worth the battle anymore.'"
They probably "found (his) weakness" rather than 'weekness'.
Unapokuwa na matatizo ya lugha kiasi hiki, kwa nini uitumie hiyo lugha na huku ipo tunayoielewa sote vizuri tu?
Kama hawajui kwamba Kabwe is 'not worth the battle,' kwa nini usiwadokezee wewe unayejua kwa maana inaelekea unaifahamu vyema mienendo ya Mh Zitto Kabwe. Ya nini wewe unayejua uendelee kunyamamizia huku watu wa pembeni ya Zitto, wasiokuwa na makosa waendelee kuumizwa? Wewe haya yanayoendelea yanakufurahisha kwa vipi!
Mwenzao uyo