seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,655
Akiwa mkoani Ruvuma, Manispaa ya Songea mjini akiwahutubia maelfu ya watani zangu wale ambao ukimwachia mke wako dakika mbili ujue imekula kwako Zitto zuberi Kabwe amesisitiza lengo ni kuiondoa CCM madarakani hivyo wananchi wakiona mbunge wa CHADEMA ana nguvu eneo husika apigiwe kura huyo na wakiona wa ACT-Wazalendo ana nguvu apigiwe kura huyo
Akiwasha moto kwa watu wa manispaa ya Songea mjini,Zitto kabwe amesisitiza kuwa watu wa Songea ni watu wa mabadiliko sana ingawa hapo awali nguvu kubwa ilitumika kuzima mabadiliko hayo hapo Songea
Zitto anasema watu wana maisha magumu kila wilaya alizopita yaani wako taabani hawana pesa mifukoni wala hawajui kesho yao
Ikumbukwe muasisi wa Taifa hili na mtu makini kama Rashid Kawawa alitokea Songea,Rashid Mfaume Kawawa alijulikana kama Simba wa vita hii ni kutokana na uongozi wake bora katika vyama vya wafanyakazi enzi za ukoloni
Kawawa aliwatikisa wakoloni na kuwashikisha adabu alipoamua kuhamishia nguvu zake za kuandamana na vurugu bila kuogopa nguvu ya mkoloni kwenye uhuru wa Tanganyika na kumuunga mkono mwalimu Nyerere.
Akiwasha moto kwa watu wa manispaa ya Songea mjini,Zitto kabwe amesisitiza kuwa watu wa Songea ni watu wa mabadiliko sana ingawa hapo awali nguvu kubwa ilitumika kuzima mabadiliko hayo hapo Songea
Zitto anasema watu wana maisha magumu kila wilaya alizopita yaani wako taabani hawana pesa mifukoni wala hawajui kesho yao
Ikumbukwe muasisi wa Taifa hili na mtu makini kama Rashid Kawawa alitokea Songea,Rashid Mfaume Kawawa alijulikana kama Simba wa vita hii ni kutokana na uongozi wake bora katika vyama vya wafanyakazi enzi za ukoloni
Kawawa aliwatikisa wakoloni na kuwashikisha adabu alipoamua kuhamishia nguvu zake za kuandamana na vurugu bila kuogopa nguvu ya mkoloni kwenye uhuru wa Tanganyika na kumuunga mkono mwalimu Nyerere.