Zitto Kabwe: Sherehe za Mapinduzi za leo ndiyo za mwisho kwa Rais Magufuli ambaye anamaliza muda wake wa Urais Oktoba mwaka huu


Unaweza ukahalalisha kila hoja kama Shida Ni possibilities na Potentiality. Unaweza Sema pia kwa Zitto nk. Point Hapo Ni nia na mahali na mazingira. Zitto anatapatapa. Kama ana uhakika huo Kwanini autamke. Ni dalili ya kushindwa na anaanza tengeneza mazingira ya kujitetea baadaye. Ubaya wa watu kama Zitto huwa hawawajibiki na maneno yao. He’s very fake. Sihitaji kuwaconvince how fake Zitto is. Just amueni tu kufuatilia Maisha yake. Utajiri Wake. Na hasa kipindi alichokuwa na cheo cha kamati ya Bunge.
 
Zitto kauli zake hazina tofauti na mlevi wa mataputapu
Zitto huyu aliwahi kutangaza hadhari Rais kafa na kutoa tweet za kushangilia kila bada ya daki tano baadae akaja kufutabusemi wake
Ni wa kupuuzwa tu
HIZI NI SHEREHE ZA MWISHO ZA MAPINDUZI ZITTO AKIWA MBUNGE
 
kama ni ufeki nenda kajionee kule Chato.
au Igoma Mwanza.
 
Mwaka huu Zitto asipokufa kwa Presha sijui? maana anaumwa Maguphobia
 
Vita ipi ya tume huru?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ZZK almaarufu Ayatollah ana wenge sana baada ya tathmini ya chama kuonesha chama kina bendera nyingi kuliko wanachama.
mimi nasema ndugu Tundu ANTIPAS Mughwai Lisu pamoja na Ndugu BEN RAIBU SANANE Walizuliwa na watu wa usalama wa taifa. asituchoshe huyo mshamba wa chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…