Zitto Kabwe: Simbachawene usipigane na teknolojia, huwezi kushindana na kazi ya kukua kwa majukwaa ya mazungumzo

Zitto Kabwe: Simbachawene usipigane na teknolojia, huwezi kushindana na kazi ya kukua kwa majukwaa ya mazungumzo

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Kupitia ukurasa wake wa Twitter bwana Zitto Kabwe amemuasa Waziri wa Mambo ya ndani bwana Simbachawene aache kuzuia social media kama space na Ch's badala yake yeye mwenyewe azitumie vizuri zitamsaidia kufikia watu

Zitto.JPG
 
Zitto kazi yake ni kujioendekeza kwa mamangi. Hawampendi matusi tani 200 lakini hachoki kujipendekeza kama mke mwenza
 
Hakuna kitu kigumu kama kupambana na wakati, ni ngumu sana ukishazeeka kurudi ujanani, unaweza kufosi kuwa kama kijana lakini hautachukua muda mrefu kabla hujagonga mwamba.

1.jpeg
 
Unamaanisha yule Simba dhaifu wa Kibakwe?
Wapo wengine kibao,idodomya sijui walimkosea nini Mungu mpaka awape viongozi empty set ivo, huwezi kuzuia kitu ambacho watu wana alternatives lukuki endapo utaizuia hiyo wanayotumia.
 
M
Kupitia ukurasa wake wa Twitter bwana Zitto Kabwe amemuasa Waziri wa Mambo ya ndani bwana Simbachawene aache kuzuia social media kama space na Ch's badala yake yeye mwenyewe azitumie vizuri zitamsaidia kufikia watu

Jinga sana ajaribu aone anafikiri ni magazeti wanqyoyafungia wanavyotaka spaces meeting moja inakuwa na watu hadi 4000 sasa zuieni mikutano ya hadhara watu wanakutana huko hakuna cha siro wala mabomu ya machozi mtu yuko washington DC anashiriki na mtu aliyeko bumbuli naona ndicho kinachowauma mmezoea kuwafanya watu kama kware wa kufugwa
 
Back
Top Bottom