mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Labda kutupa takataka hovyoHivi Kuichafua Nchi ndio nini?
kuichafua nchi ni kulalamika mitandaoni kuwa "watu wasilete uanaharakati wa kijinsia kwenye ofisi za umma"Hivi Kuichafua Nchi ndio nini?
Ndio ujue tunatawaliwa na Zero IQ'skuichafua nchi ni kulalamika mitandaoni kuwa "watu wasilete uanaharakati wa kijinsia kwenye ofisi za umma"
BrilliantKupitia ukurasa wake wa Twitter bwana zitto kabwe amemuasa waziri wa Mambo ya ndani bwana Simbachawene aache kuzuia social media Kama space na Ch's badala yake yeye mwenyewe azitumie vizuri zitamsaidia kufikia watu
Kuanzisha tozo kuanzia kwenye miamala mpaka kwenye LukuHivi Kuichafua Nchi ndio nini?
Maaskari kwenda kutisha watoto kwenye vipaimara na madrasaHivi Kuichafua Nchi ndio nini?
uko nje ya mada.Zitto kazi yake ni kujioendekeza kwa mamangi. Hawampendi matusi tani 200 lakini hachoki kujipendekeza kama mke mwenza
Wapo wengine kibao,idodomya sijui walimkosea nini Mungu mpaka awape viongozi empty set ivo, huwezi kuzuia kitu ambacho watu wana alternatives lukuki endapo utaizuia hiyo wanayotumia.Unamaanisha yule Simba dhaifu wa Kibakwe?
Jinga sana ajaribu aone anafikiri ni magazeti wanqyoyafungia wanavyotaka spaces meeting moja inakuwa na watu hadi 4000 sasa zuieni mikutano ya hadhara watu wanakutana huko hakuna cha siro wala mabomu ya machozi mtu yuko washington DC anashiriki na mtu aliyeko bumbuli naona ndicho kinachowauma mmezoea kuwafanya watu kama kware wa kufugwaKupitia ukurasa wake wa Twitter bwana Zitto Kabwe amemuasa Waziri wa Mambo ya ndani bwana Simbachawene aache kuzuia social media kama space na Ch's badala yake yeye mwenyewe azitumie vizuri zitamsaidia kufikia watu