Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Sio anaogopa, anajua hatapata.Anaogopa kumpinga mama yake! 😁
Pia possibility ya kupata ubunge kwake ni kubwa compared na Urais.
Kwa ufupi anataka pesa na madaraka na ameangalia wapi Kuna mpenyo kaona ni kwenye ubunge