Zitto Kabwe tangu ang'atuke uongozini kwenye chama chake ni kama vile ana mawenge na kabisa amepoteza muelekeo

Zitto Kabwe tangu ang'atuke uongozini kwenye chama chake ni kama vile ana mawenge na kabisa amepoteza muelekeo

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
ACT wazalendo nayo ni kama imeingia rasmi kwenye mfumo wa upinzani wa kulalamika na kukurupuka bila kua na mawazo mapya, fikra wala mipango mikakati mbadala.

Zitto Kabwe ana tamani kurudi kwenye ramani ya siasa tena lakini kwa kukurupuka mno. Anajaribu kuiingiza ACT wazalendo kwenye upinzani nchini kwa style ambayo ni useless na completely nonsense.

Kwamba eti na ACT wazalendo wameingia kwenye record ya matukio sijui ya drama gani huko, ili sasa na wao eti waonekane ni against the government na ni tishio kwa gov. Hivi ni vichekesho na kwakweli ni kiwango kibaya sana cha kukata tamaa.

ACT wazalendo wameachana rasmi na siasa za hoja, mipango na mikakati na wameamua rasmi kujiunga na upinzani wa visingizio mfu na drama.

kutengeneza script na kusambaza chuki, dhidi ya serikali sikivu ya CCM na vyombo vya ulinzi na usalama kamwe haviwezi kudhoofisha imani ya waTanzani kwa CCM.

Mawenge ya kiongozi mustaafu wa ACT wazalendo yamewaingiza chaka kisiasa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hata watanzania tu hawana muda naye na walishampuuza kwa kila jambo analozungumza Ndio maana anajaribu kutaka kutumia nguvu kubwa sana kuaminika kwa watanzania ambao kwa kiasi kikubwa wanamchukulia kama mnafiki,kigeugeu,kinyonga ,msaliti na asiye na msimamo wa kueleweka.
 
ACT wazalendo nayo ni kama imeingia rasmi kwenye mfumo wa upinzani wa kulalamika na kukurupuka bila kua na mawazo mapya, fikra wala mipango mikakati mbadala.

Zitto Kabwe ana tamani kurudi kwenye ramani ya siasa tena lakini kwa kukurupuka mno. Anajaribu kuiingiza ACT wazalendo kwenye upinzani nchini kwa style ambayo ni useless na completely nonsense.

Kwamba eti na ACT wazalendo wameingia kwenye record ya matukio sijui ya drama gani huko, ili sasa na wao eti waonekane ni against the government na ni tishio kwa gov. Hivi ni vichekesho na kwakweli ni kiwango kibaya sana cha kukata tamaa.

ACT wazalendo wameachana rasmi na siasa za hoja, mipango na mikakati na wameamua rasmi kujiunga na upinzani wa visingizio mfu na drama.

kutengeneza script na kusambaza chuki, dhidi ya serikali sikivu ya CCM na vyombo vya ulinzi na usalama kamwe haviwezi kudhoofisha imani ya waTanzani kwa CCM.

Mawenge ya kiongozi mustaafu wa ACT wazalendo yamewaingiza chaka kisiasa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Anakusanya kodi ya nchi hii? Wenye mawenge ni wale wanao kusanya kudi na kuzifisidi, tukianzia na yule kizimkazi ana filisi nchi kwa matumizi ya anasa
 
Hata watanzania tu hawana muda naye na walishampuuza kwa kila jambo analozungumza Ndio maana anajaribu kutaka kutumia nguvu kubwa sana kuaminika kwa watanzania ambao kwa kiasi kikubwa wanamchukulia kama mnafiki,kigeugeu,kinyonga ,msaliti na asiye na msimamo wa kueleweka.
mlitaka akae kimya baada ya wahuni kumteka Nondo? nyie wajinga nini? Alie puzwa ni yule Bibi wenu wa Kizimkazi, anaye tumia nguvu za ziada kutafuta uungwaji mkono.
 
mlitaka akae kimya baada ya wahuni kumteka Nondo? nyie wajinga nini? Alie puzwa ni yule Bibi wenu wa Kizimkazi, anaye tumia nguvu za ziada kutafuta uungwaji mkono.
Mmepata pa kufichia aibu na tamaa zenue?

yaani kufumaniwa ndiyo siku hizi mnakuja kusingizia sijui nini eti?.

acheni tamaa na wake za watu nyie 🐒
 
Anakusanya kodi ya nchi hii? Wenye mawenge ni wale wanao kusanya kudi na kuzifisidi, tukianzia na yule kizimkazi ana filisi nchi kwa matumizi ya anasa
acheni tamaa na familia za watu mtaumizwa sana mkiendekeza tamaa za mwili ila kodi Lazima ulipe 🐒
 
ACT wazalendo nayo ni kama imeingia rasmi kwenye mfumo wa upinzani wa kulalamika na kukurupuka bila kua na mawazo mapya, fikra wala mipango mikakati mbadala.

Zitto Kabwe ana tamani kurudi kwenye ramani ya siasa tena lakini kwa kukurupuka mno. Anajaribu kuiingiza ACT wazalendo kwenye upinzani nchini kwa style ambayo ni useless na completely nonsense.

Kwamba eti na ACT wazalendo wameingia kwenye record ya matukio sijui ya drama gani huko, ili sasa na wao eti waonekane ni against the government na ni tishio kwa gov. Hivi ni vichekesho na kwakweli ni kiwango kibaya sana cha kukata tamaa.

ACT wazalendo wameachana rasmi na siasa za hoja, mipango na mikakati na wameamua rasmi kujiunga na upinzani wa visingizio mfu na drama.

kutengeneza script na kusambaza chuki, dhidi ya serikali sikivu ya CCM na vyombo vya ulinzi na usalama kamwe haviwezi kudhoofisha imani ya waTanzani kwa CCM.

Mawenge ya kiongozi mustaafu wa ACT wazalendo yamewaingiza chaka kisiasa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Huenda kichwani una kitu kisichokuwa akili, bila shaka una chawa
 
Hata Kibao kuuwawa inawezekana pia zikawa ni tattoo za kaburini tu?. Acheni Dhuruma ya uhai wawatu.
ni muhimu zaidi kuepuka tamaa na kumendea wake za watu mtaumbuka vibaya kwa kuumizwa ndrugu zango 🐒
 
zile alama walikosea kuzichora.

yaani zimekua kama tattoo za mgongoni tu 🐒
Kaweke na wewe halafu tuone kama zinachorwa , Pathetic idiots
Ndio maana watu wanafurahi matatizo upande wenu
 
Kaweke na wewe halafu tuone kama zinachorwa , Pathetic idiots
Ndio maana watu wanafurahi matatizo upande wenu
acha tamaa na wake za watu gentleman,

ukiumizwa unasingizia sijui nini huko, sasa ili upate huruma za mitandaoni, eti ee?🐒
 
acha tamaa na wake za watu gentleman,

ukiumizwa unasingizia sijui nini huko, sasa ili upate huruma za mitandaoni, eti ee?🐒
Kama yule wa kwenu ambae amendolewa sio? ongeeni na vijana wenu huko, wataisha kwa tamaa

mpunguze viherehere na midomo
 
Back
Top Bottom