Zitto Kabwe tangu ang'atuke uongozini kwenye chama chake ni kama vile ana mawenge na kabisa amepoteza muelekeo

Zitto Kabwe tangu ang'atuke uongozini kwenye chama chake ni kama vile ana mawenge na kabisa amepoteza muelekeo

Kama yule wa kwenu ambae amendolewa sio? ongeeni na vijana wenu huko, wataisha kwa tamaa

mpunguze viherehere na midomo
Yaani ufumaniwe kwa tamaa zako halafu eti uje hapa sijui ng'we ng'we ng'we ng'we nini huko, alaa!!

unafikiri kila mtu yuko kama mlivyo?🐒
 
Yaani ufumaniwe kwa tamaa zako halafu eti uje hapa sijui ng'we ng'we ng'we ng'we nini huko, alaa!!

unafikiri kila mtu yuko kama mlivyo?🐒
Yule kafumaniwa kapoteza maisha , take that. Mpunguze midomo
 
ACT wazalendo nayo ni kama imeingia rasmi kwenye mfumo wa upinzani wa kulalamika na kukurupuka bila kua na mawazo mapya, fikra wala mipango mikakati mbadala.

Zitto Kabwe ana tamani kurudi kwenye ramani ya siasa tena lakini kwa kukurupuka mno. Anajaribu kuiingiza ACT wazalendo kwenye upinzani nchini kwa style ambayo ni useless na completely nonsense.

Kwamba eti na ACT wazalendo wameingia kwenye record ya matukio sijui ya drama gani huko, ili sasa na wao eti waonekane ni against the government na ni tishio kwa gov. Hivi ni vichekesho na kwakweli ni kiwango kibaya sana cha kukata tamaa.

ACT wazalendo wameachana rasmi na siasa za hoja, mipango na mikakati na wameamua rasmi kujiunga na upinzani wa visingizio mfu na drama.

kutengeneza script na kusambaza chuki, dhidi ya serikali sikivu ya CCM na vyombo vya ulinzi na usalama kamwe haviwezi kudhoofisha imani ya waTanzani kwa CCM.

Mawenge ya kiongozi mustaafu wa ACT wazalendo yamewaingiza chaka kisiasa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Trump karudi atawanyooshie bsit holes wote
Upuuzi tu kutetea ujinga, Dogo unajiona mjanja, kwa kuwa unalipwa buku7 na lumumba propaganda huku uikisubiria uteuzi

Wapumbavu sana nyie
 
Wewe jamaa ni mnafiki wa mwisho nchi. Unafurahia mauaji ya Kibao na kuyafanyia mzaha. Ubinadamu umekutoka kisa uchama. Endelea tu.
 
We huna unalojua, Rais wa nchi apuuzwe na nani? Hizo sonona zitawamaliza. Rais ni raia namba one kila mtu anamwangalia. CCM imeshinda kwa 99% serikali za mitaa subiri 2025 99% nyingine
Hata Wazazi wako wana mpuuza
 
Na kibao kuuwawa ni mchezo wa kuigizwa ukiongozwa na Samia?.
Nakupa taarifa za ndani sana kwamba haya mauaji ni michezo ya vyama vyenyewe vya kisiasa hata ule unyama aliofanyiwa Lissu 2017 September ni mchezo wa CHADEMA wenyewe.

Ni taarifa za mkubwa mmoja serikalini, ni mmoja wa wasaidizi wa karibu wa Rais Samia.
 
Everything is govern by laws. Siasa za tanzania nazijua vizuri. Ni rahis sana kila mtu kusema na taarifa za kiusalama, ili mradi a fit his narrative
But si kila mtu ni usalama

So unless una evidence yoyote, take a hike bro hamna unalojua
Elewa ulichoambiwa, kwamba Abdul Nondo ni muigizaji sawa na wale wa bongo movie.
 
Nakupa taarifa za ndani sana kwamba haya mauaji ni michezo ya vyama vyenyewe vya kisiasa hata ule unyama aliofanyiwa Lissu 2017 September ni mchezo wa CHADEMA wenyewe.

Ni taarifa za mkubwa mmoja serikalini, ni mmoja wa wasaidizi wa karibu wa Rais Samia.
Kwahio CDM wanaachwa wauwe watu?. Kuna muda kujifanya unaakili nyingi kunaongeza kudhauraulika na kuonyesha ujinga wako.
 
ACT wazalendo nayo ni kama imeingia rasmi kwenye mfumo wa upinzani wa kulalamika na kukurupuka bila kua na mawazo mapya, fikra wala mipango mikakati mbadala.

Zitto Kabwe ana tamani kurudi kwenye ramani ya siasa tena lakini kwa kukurupuka mno. Anajaribu kuiingiza ACT wazalendo kwenye upinzani nchini kwa style ambayo ni useless na completely nonsense.

Kwamba eti na ACT wazalendo wameingia kwenye record ya matukio sijui ya drama gani huko, ili sasa na wao eti waonekane ni against the government na ni tishio kwa gov. Hivi ni vichekesho na kwakweli ni kiwango kibaya sana cha kukata tamaa.

ACT wazalendo wameachana rasmi na siasa za hoja, mipango na mikakati na wameamua rasmi kujiunga na upinzani wa visingizio mfu na drama.

kutengeneza script na kusambaza chuki, dhidi ya serikali sikivu ya CCM na vyombo vya ulinzi na usalama kamwe haviwezi kudhoofisha imani ya waTanzani kwa CCM.

Mawenge ya kiongozi mustaafu wa ACT wazalendo yamewaingiza chaka kisiasa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kuna mwingine anasubiri muda wa kudalalia post za election

Ana hesabu za mawenge zaidi…. Yupo kimyaaaaaa

Julai utamsikia tu…. “Sisi tunataka dola”
 
Nakupa taarifa za ndani sana kwamba haya mauaji ni michezo ya vyama vyenyewe vya kisiasa hata ule unyama aliofanyiwa Lissu 2017 September ni mchezo wa CHADEMA wenyewe.

Ni taarifa za mkubwa mmoja serikalini, ni mmoja wa wasaidizi wa karibu wa Rais Samia.
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana.
 
Michezo ya kisiasa yenye nia ya kutafuta huruma ya kijamii.

Huyo Nondo alishawahi kujiteka enzi zile za hayati JPM haishangazi kuhusika kwake katika igizo jingine la awamu ya sita.
kufilisika kwa hoja kisiasa ni kitu mbaya sana,

yaani wanafanya siasa za kindezi sana ili kupata trending ambayo tena inawadhoofisha wao wenyewe, aise!🐒
 
Back
Top Bottom