Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu


Baba anavuta bangi.... is okay.

Mtoto anavuta sigara anachapwa bakora.
 
My brother Zitto ni Jambo gani Kiongozi wa Nchi Dr John Pombe Magufuli akifanya/akisema/akiamuru huwa unakubaliana nae???Kila afanyacho Rais ni kosa??umekuwa na ukosoaji wa kijuha Sana kwa muda wote huku ukivumiliwa!!!
Unataka kutuaminisha wewe una akili Sana kuliko wote?
Ni heri uendelee kusoma vitabu tu mwisho wa mwaka utuelekeze umesoma vingapi kuliko kuwa unapayuka payuka Mambo usio kuwa na uwelewa nayo.
 
Kipengele gani cha katiba kimevunjwa? Mbona unamawazo ya kushikiwa....
Bunge = Rais + wabunge
Sasa Rais ni mhimili unaojitegemea lakini Bunge ni muunganiko wa Rais na wabunge..ibara ya 62(1) ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania..
 

Wewe ni muongo sana ,hakuna Ukweli wowote unao endana na haya Maneno yako hapa ktk Kifungu ulicho nielekeza nikakisome.

Kwa Logic ya kawaida tu kama nafasi ya Rais inaweza kuamua na kufanya kila kitu na haipangiwi maana ya kuwa na Bunge ni nini !?

Bunge lipo kwa ajili ya kumsimamia Rais na linaweza pia kumuondoa Rais kwa mujibu wa utaratibu ulio wekwa na Katiba.Mind you Bunge ndio Wananchi wenyewe Mkuu.Pia Rais anaeweza kulivunja Bunge kwa mujibu wa Katiba.
 
Kwa hiyo hata kama mtu anajenga ikulu kijijini kwake ni sawa tu na pia ni kwa manufaa ya umma.

Kama wewe ni mjinga (Ignorant) jitahidi sana kadri ya uwezo wako kuficha isionekane kwa watu.

Al Bashir alikuwa rais wa Sudan kwa miaka 30 akitawala vizuri tu kwa raha zake na aliingia madarakani kwa mapinduzi na muda woote huo akiwa rais hakuna aliyehoji style aliyotumia kuingia madarakani.

Leo baada ya kubanduliwa kwenye urais wanataka wamfungulie kesi kuwa aliingia madarakani kinyume cha sheria (Katiba). Sasa tafakari, iko siku Rais Magufuli atapata shida sana kwani sheria sio kama Science kwani ni very ambiguous subject without proper formula.
 
Yeye yuko juu ya Sheria na katiba haaaa
 
Zitto anamfananisha Waziri na Rais?.......

Waziri unaweza kumlinganisha na KUB au RC fullstop!
Where's your head bwashee? Go and find where you left then use it! Yaani ccm masalia hujui tofauti ya uliowataja na ukomo wa majukumu yao? Rudi darasani na usione aibu kusoma na wanao!
 
Ndugu yangu awamu hii uko kijiweni tu! Uliamini siasa ni kazi yako ya maisha, endelea lakini ktk safari hii ya maisha uko taaban. Usihangaishe watu kujadili mambo ambayo yako wazi. Bunge gani hilo ambalo mulizoea kugawana posho mutakavyo? Hakuna uelewa zaidi ya kusoma internet na kuiga mambo ya youtube.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…