barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Kapambane jimboni kwako, unapumulia mashine. Usijifanye national hero!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kumpa boss mgawo wake
Bora hata umetuambia na sisi maana wengine tulikuwa hatujui 😂😂😂Kuna jambo. SIO HILI AMESEMA Rais. Najua kosa la Kangi kafanya Dili kwa kumzunguka Rais. Rais amekasirika. Rafiki yangu Kangi hakujua kuwa hakuna DILI nchini bila mkono wa Rais. Hoja ya BUNGE ni kisingizio tu.
I see, you are untouchable!, halafu wanaishia kamata watu pembeni wanawauliza Zitto ana nini!, kama hawakuoni vile...Bila kumpa boss mgawo wake
Zitto utapimwa mkojo shauri yakoBila kumpa boss mgawo wake
Katika nchi za Afrika huwezi kufanya maamuzi sahihi kupitia kura! Kura haina nguvu Afrika!Mheshimiwa Zitto atukumbushe haya hapo Oktoba ili tufanye uamuzi sahihi
Huwa ananikosha tu kwenye data( figure)
Mbona umeulizia korosho tu?hayo mengine yaliyoandikwa huyaoni?Kwani korosho zilikuwa za nani?
Na zilinunuliwa wapi?
Baada ya kununuliwa ziliuzwa na hela kurudi au zilinunuliwa ziwe viburudisho maofisini au?
Angewasiliana na Mfugale amfundishe jinsi ya kuishi mjini!Bila kumpa boss mgawo wake
Ni kweli , ndio maana mtu Lugola ametumbuliwa baada ya kula peke yake na kuiacha taasisi ikipiga miayo 😆😆😆Rais ni taasisi na Lugola ni mtu.. Umeelewa Zitto? Kamwe milele yote huwezi mlinganisha Rais na mtu yeyote yule.
Tujibu suala moja baada ya lingine.
Zitto si anajua watanzania hawafikiri kwa bongo zao yaani Lugola umlinganishe na Rais....Lini Magu amekataa hajaagiza?Kwahiyo Rais unamlinganisha na waziri? Maana mifano uliyotoa yote rais aliagiza. Tusaidiane kujua mipaka, majukumu na mamlaka ya raisi na waziri bila kelele.