Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

Zitto anamfananisha Waziri na Rais?.......

Waziri unaweza kumlinganisha na KUB au RC fullstop!
Hiyo ndo inayowapa taabu akina zitto. Hajui yeye ni mbunge wa jimbo, hajui mawaziri ni wateule wa rais. Eti mbona yeye, yeye nani? Rais vs Waziri na mbunge?
Huyu zitto alidhani ata switch kutoka kwa Kikwete alelewe na Magufuli.Alihudhuria uzinduzi wa Bunge wakati wenzake wamegoma. Imegoma sasa ni tatizo.
 
Bila kumpa boss mgawo wake
Wewe uligawa kiasi gani? Imekula kwako dogo! Ni wewe tu uliyehudhuria uzinduzi wa Bunge wakati wenzako wamegoma. Naona umeshindwa kulelewa.
 
Mkuu Zitto niliku PM tangia mwezi huu January mwanzoni nikupe huu mkasa ukazingua.

Nilitaka nikupe mikasa ya mawaziri wanne akiwemo Kangi yani serikali ya Magufuli imeoza mpaka mwisho. Sema kwakuwa uliniona yanki ukadharau ila nilitaka nikupe uiweke hadharani.

Kutokana na position niliyo nayo naona mengi na siyafurahii kabisa ila pia nikiyaweka humu nina uhakika nitakamatwa ila kiukweli uozo ni mkubwa kuliko kawaida.
Mkuu kama umeona uozo wa awamu hii kwa kiasi hicho ninachokihisi, basi awamu iliyopita ilikuwa ni uozo na kufukiwa. Walideka hadi akina Zitto.
 
Hata kama kamtoa lakin kangi katufanyia mabadiliko makubw ya kiutendaji. Hasa kuruhusu dhamana week end, bas kusafir usiku hasa zinazokuja dar, kuondoa traffic wala rushwa. Kuzuia tochi za nyuma pamoja na kero lukuk za polis wetu. Namkubali sana. Nikifungua kampun ya ulinzi siwez kutomfikiria
 
Kangi bwana hatari sana, yaani anakwenda kufunga dili ya 1trilioni na WAROMANIA??, hawa wazee wetu wanashida sana na exposure ya dunia..nina wasiwasi sana na hiyo biashara iliyotaka kufanyika na WaRomania aka Wanigeria weupe..
 
Kipimo cha Rais kufukuza watu kwa kusaini mikataba bila ruhusa ya Bunge kinaanzia kwa Kangi ? Yeye Rais @MagufuliJP aliagiza Serikali kununua Korosho kwa Fedha Shs 600 bilioni bila Bunge kupitisha. Hasara kwa Nchi ilikuwa $500m. Rais aliandika barua kujiuzulu?#TUSIDANGANYIKE.

Rais aliagiza Waziri Kabudi na wenzake kusaini Mkataba na Kampuni ya Barrick Gold hapakuwa na kibali cha Bunge wala Mkataba walio INITIAL haujaletwa Bungeni. Mbona hatukumwona Rais akikasirika? #HATUDANGANYIKI.

Mkataba wa kuzalisha Passport mpya ulijadiliwa na TISS na Ikulu na haukuwahi kuletwa Bungeni. Mbona Rais hakuhamaki? #HATUDANGANYIKI

Serikali imenunua Helkopta 13 kutoka Kampuni ya Airbus zenye thamani ya Dola za Marekani 200M bila BUNGE kupitisha Bajeti na wala Mkataba kupitishwa na BUNGE, Rais hajawahi kuonyesha hasira kwa hili. Hii ya Leo ya Zimamoto ina Nini? Ni BUNGE kweli? NOOO. #HATUDANGANYIKI.

Rais aliagiza kujengwa kwa Uwanja wa Ndege wa Chato wakati hapakuwa na Bajeti iliyopitishwa na Bunge na kazi kutolewa kwa Kampuni ambayo ina mahusiano na Rais na inasemekana ni kampuni yake bila Zabuni yenye ushindani. Kampuni hiyo ni Mayanga Construction Limited #HATUDANGANYIKI.
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais ni taasisi na Waziri ni mtu. Zitto anakurupuka!
Huo ndiyo unafiki wenyewe. Endeleeni kumtetea lkn siku yako ikifika sijui nani atakutetea. Kumbuka Khangi Lugola na Ilani yake ya ccm hadi kwenye nyumba za ibada lkn haikumuokoa.

Penye ukweli. Tujifunze kuwa wakweli. Na penye uongo ubaki kuwa hivyo. Tukiwa na lengo la kujenga nchi basi kusiwe na double standard.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu awamu hii uko kijiweni tu! Uliamini siasa ni kazi yako ya maisha, endelea lakini ktk safari hii ya maisha uko taaban. Usihangaishe watu kujadili mambo ambayo yako wazi. Bunge gani hilo ambalo mulizoea kugawana posho mutakavyo? Hakuna uelewa zaidi ya kusoma internet na kuiga mambo ya youtube.

Unaongea utoto gani we dogo?
 
Wewe ni muongo sana ,hakuna Ukweli wowote unao endana na haya Maneno yako hapa ktk Kifungu ulicho nielekeza nikakisome.

Kwa Logic ya kawaida tu kama nafasi ya Rais inaweza kuamua na kufanya kila kitu na haipangiwi maana ya kuwa na Bunge ni nini !?

Bunge lipo kwa ajili ya kumsimamia Rais na linaweza pia kumuondoa Rais kwa mujibu wa utaratibu ulio wekwa na Katiba.Mind you Bunge ndio Wananchi wenyewe Mkuu.Pia Rais anaeweza kulivunja Bunge kwa mujibu wa Katiba.
Kinukuu hicho kifungu kama ulivyonukuu na 62(3) tuuone huo uongo wangu...maana akili zako kama mzigo tu ...wewe ni kubebwa
 
Wewe ni muongo sana ,hakuna Ukweli wowote unao endana na haya Maneno yako hapa ktk Kifungu ulicho nielekeza nikakisome.

Kwa Logic ya kawaida tu kama nafasi ya Rais inaweza kuamua na kufanya kila kitu na haipangiwi maana ya kuwa na Bunge ni nini !?

Bunge lipo kwa ajili ya kumsimamia Rais na linaweza pia kumuondoa Rais kwa mujibu wa utaratibu ulio wekwa na Katiba.Mind you Bunge ndio Wananchi wenyewe Mkuu.Pia Rais anaeweza kulivunja Bunge kwa mujibu wa Katiba.
Ujinga huo ulionao ndio tatizo...nimekueleza vizuri unapotamka bunge unamaanisha Rais na Wabunge...bunge lina sehemu 2,Moja rais na Wabunge.Kaa ukijua Rais ni sehem ya bunge.
 
Back
Top Bottom