unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Mkuu Zitto niliku PM tangia mwezi huu January mwanzoni nikupe huu mkasa ukazingua.
Nilitaka nikupe mikasa ya mawaziri wanne akiwemo Kangi yani serikali ya Magufuli imeoza mpaka mwisho. Sema kwakuwa uliniona yanki ukadharau ila nilitaka nikupe uiweke hadharani.
Kutokana na position niliyo nayo naona mengi na siyafurahii kabisa ila pia nikiyaweka humu nina uhakika nitakamatwa ila kiukweli uozo ni mkubwa kuliko kawaida.
Vipi mkuu. Madeal yako yamekwama. Mana ZITTO ndo Hana kabisa credibility. So Kama wewe humjui Zitto Basi huna lolote.