Preliminary Memorandum of Understanding, ndiyo gani kwayo! sasa huo mradi umesha sainiwa, na wahusika wamejiuzulu, je mradi utaendelea? au ndiyo utaishia hapo kwenye P.M/Andastandingi?
Huyu Waziri kaingizwa chaka makusudi, either na Rais mwenyewe kwa sababu hamtaki, au na official subordinates wake, but hakustuka mapema, na hata sasa hajui! anaenda kikondoo tu!
Inawezekana pia alijua kinachoendelea, akaona sawa tu, na iwe ivo, amechoka kazi, za kupumuliwa shingoni, kama jinga fulani hivi, Musoma type wana viburi hao, hawajali matokeo!!!!!!!!
Ukiwa mkubwa kicheo, kiutawala, kifedha km Mengi, lazima uwe na personal guardian inner circle agency! watakao ku feed, nyeti zote! na namna ya kujinasua na mitego, Lugola maskini hayajui haya, alikimbia Jeshi.
But Rais ameyawezea sana haya kwa kutumia TISS. hata mimi hapa sijui wananijua hawa jamaa manake hawatabiriki! utashangaa siku uko kitaani ''wewe Nyarusare simama juu songa mbere?...''